Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mokhber: Uwezo wa kielimu na kisayansi wa Iran unatia matumaini

    Mokhber: Uwezo wa kielimu na kisayansi wa Iran unatia matumaini

    Feb 13, 2024 23:50

    Makamu wa Kwaza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni jambo la dharura kutangazwa kwa upana mafanikio na ustawi wa kielimu na kisayansi wa Iran hasa kutokana na kuwa jambo hilo linatia matumaini kwenye nyoyo za wapenzi wa Jamhuri ya Kiislamu na linawakatisha tamaa maadui.

  • Wasomi na wataalamu 3,700 wa Kiirani warejea nchini

    Wasomi na wataalamu 3,700 wa Kiirani warejea nchini

    Feb 13, 2024 08:51

    Naibu Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mahusiano ya Kisayansi na Teknolojia anayehusika na Maendeleo ya Sayansi na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Rais wa Iran ametangaza habari ya kurejea nchini wasomi na wataalamu 3,700 wa Kiirani katika fremu ya mradi uliopewa jina la "Connect".

  • Iran: Kupanua jinai za vita dhidi ya Wapalestina wa Rafah kutakuwa na madhara makubwa kwa utawala wa Kizayuni

    Iran: Kupanua jinai za vita dhidi ya Wapalestina wa Rafah kutakuwa na madhara makubwa kwa utawala wa Kizayuni

    Feb 13, 2024 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa onyo kali kwa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuuvamia mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza na kusema kuwa utakuwa na madhara makubwa kwa utawala huo.

  • Viongozi wa Muqawama: Vita vya Ghaza si vita vya mwisho na Wazayuni

    Viongozi wa Muqawama: Vita vya Ghaza si vita vya mwisho na Wazayuni

    Feb 12, 2024 22:58

    Viongozi wa makundi mbalimbali ya muqawama wa Palestina wameonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Damascus Syria na kusisitiza kuwa, mapambano ya taifa la Palestina tangu Wazayuni walipovamia ardhi za taifa hilo zaidi ya miaka 75 iliyopita, vimekuwepo na vitaendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Palestina itakapokombolewa.

  • Iran: Israel haina uwezo wa kuendeleza vita Gaza hata kwa siku 1 bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Iran: Israel haina uwezo wa kuendeleza vita Gaza hata kwa siku 1 bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Feb 12, 2024 07:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian amesisitiza kuwa, iwapo Marekani itaacha kuuunga mkono utawala wa Kizayuni, utawala huo hautoweza kuendeleza vita dhidi ya Gaza hata kwa siku moja.

  • Rekodi ya Iran katika ustawi wa watu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Rekodi ya Iran katika ustawi wa watu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2024 07:35

    Maendeleo ya pande zote ya Iran tangu baada tu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ndilo jambo ambalo lilitiliwa mkazo mno na Imam Khomeini, MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanaendelea kupewa umuhimu mkubwapia hivi sasa na Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Amir-Abdollahian: Iran inaendelea na juhudi zake za kupandishwa kizimbani utawala wa Kizayuni

    Amir-Abdollahian: Iran inaendelea na juhudi zake za kupandishwa kizimbani utawala wa Kizayuni

    Feb 11, 2024 04:08

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Kiislamu na eneo zitaendelea na juhudi zake za kuufungulia mashitaka utawala wa Kizayuni kwa jinai zake katika Ukanda wa Gaza.

  • Shirikisho la Soka la Iran laitaka FIFA kuipiga marufuku Israel katika michezo

    Shirikisho la Soka la Iran laitaka FIFA kuipiga marufuku Israel katika michezo

    Feb 11, 2024 00:50

    Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limelitaka Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kusitisha shughuli zote za soka za utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na utawala huo kutenda jinai huko Gaza.

  • Kukiri UN juu ya nafasi chanya ya Iran katika matukio ya Asia Magharibi

    Kukiri UN juu ya nafasi chanya ya Iran katika matukio ya Asia Magharibi

    Feb 11, 2024 00:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kuenea hali ya mivutano katika eneo la Magharibi mwa Asia na kusema Iran ina nafasi chanya na yenye taathira katika matukio ya eneo hilo na katika kurejesha amani na utulivu.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Feb 10, 2024 07:11

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso ameshiriki katika sherehe za madhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo bora cha utawala, muqawama, ushujaa na mapambano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS