Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Aug 04, 2023 04:27

    Msemaji wa Wiziara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inatoa mwito wa kukomeshwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon.

  • Viongozi wa Iran na Oman watilia mkazo kupanuliwa mashirikiano baina ya nchi mbili

    Viongozi wa Iran na Oman watilia mkazo kupanuliwa mashirikiano baina ya nchi mbili

    Aug 01, 2023 10:06

    Viongozi wa Iran na Oman wamesisitiza na kutilia mkazo nia ziliyonayo Tehran na Muscat ya kuinua kwa kiwango na upeo wa juu zaidi uhusiano wa nchi mbili na kupanua zaidi maelewano baina ya pande mbili.

  • Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Jul 28, 2023 08:40

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuwa, mgogoro wa Palestina unaweza kupatiwa ufumbuzi tu kupitia kuhitimishwa ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Wapalestina unaofanywa na Wazayuni maghasibu.

  • Iran: Mkono wa Israel unaonekana kwenye vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani

    Iran: Mkono wa Israel unaonekana kwenye vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani

    Jul 25, 2023 23:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya Magharibi za Sweden na Denmark na kusema kuwa, alama za vidole za utawala haramu wa Israel zinaonekana wazi kwenye vitendo hivyo viovu.

  • Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Jul 24, 2023 08:02

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Iran yuko nchini Afrika Kusini kushiriki mkutano wa ngazi ya juu wa usalama wa nchi kundi la BRICS.

  • Iran: Mkuu wa UN achukue msimamo mkali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qurani

    Iran: Mkuu wa UN achukue msimamo mkali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qurani

    Jul 21, 2023 04:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akimtaka achukue msimamo mkali dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu.

  • Waziri wa Ulinzi: Hakuna anayeweza kuitishia Iran yenye nguvu

    Waziri wa Ulinzi: Hakuna anayeweza kuitishia Iran yenye nguvu

    Jul 19, 2023 08:09

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu hivi sasa ina nguvu na uwezo mkubwa wa kiulinzi, na kwamba hakuna yeyote anayeweza kulitishia taifa hili.

  • Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Jul 16, 2023 04:34

    Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na mwakilishi maalumu wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya Asia Magharibi na Afrika, amesisitiza juu ya kuheshimiwa mamlaka na umoja wa ardhi yote ya Iran kama nchi rafiki. Bogdanov ameyasema hayo katika mkutano na Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow.

  • Benki ya Dunia: Iran inaongoza duniani katika upatikanaji wa maji safi ya kunywa mijini na vijijini

    Benki ya Dunia: Iran inaongoza duniani katika upatikanaji wa maji safi ya kunywa mijini na vijijini

    Jul 15, 2023 04:18

    Benki ya Dunia imetangaza katika ripoti yake kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashika nafasi ya kwanza katika upatikanaji wa maji safi ya kunywa mijini na vijijini kote ulimwenguni na miongoni mwa nchi za eneo la Asia Magharibi.

  • Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Jul 14, 2023 08:30

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS