Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Raisi: Maadui wanataka kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran

    Raisi: Maadui wanataka kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran

    Nov 17, 2022 05:58

    Rais wa Iran amesema maadui wanafanya juu chini na kula kila aina ya njama kwa lengo la kuwakatisha tamaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Nov 17, 2022 04:14

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Iran yaitaka Marekani iache unafiki katika mazungumzo ya JCPOA

    Iran yaitaka Marekani iache unafiki katika mazungumzo ya JCPOA

    Nov 17, 2022 03:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ipo mbioni kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwa msingi huo amewaasa viongozi wa nchi hiyo na timu ya wapatanishi wa Washington katika mazungumzo hayo kuweka pembeni unafiki.

  • Kadhaa watiwa mbaroni kwa kuhusika na shambulio la kigaidi lililoua watu 5 kusini mwa Iran

    Kadhaa watiwa mbaroni kwa kuhusika na shambulio la kigaidi lililoua watu 5 kusini mwa Iran

    Nov 16, 2022 23:23

    Vikosi vya usalama vya Iran vimewatia mbaroni watu kadhaa wanaohusishwa na shambulio la kigaidi lililosababisha vifo vya watu sita usiku wa kuamkia leo katika mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa nchi.

  • Abdollahian: Iraq ina wajibu wa kuzuia vitisho dhidi ya Iran kutokea Kurdistan

    Abdollahian: Iraq ina wajibu wa kuzuia vitisho dhidi ya Iran kutokea Kurdistan

    Nov 15, 2022 04:08

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mwito kwa jirani yake Iraq kuchukua hatua za kuzuia vitisho vinavyopangwa na kutekelezwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kutokea eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa Iraq.

  • Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Nov 15, 2022 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikwazo vipya vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 29 na taasisi tatu za Kiirani, ikiwemo kanali ya televisheni ya Press TV.

  • Timu ya kandanda ya Iran yawasili Qatar kushiriki Kombe la Dunia

    Timu ya kandanda ya Iran yawasili Qatar kushiriki Kombe la Dunia

    Nov 15, 2022 00:19

    Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwenda kuweka kambi ya kujianjdaa kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza kutifua mavumbi wiki ijayo.

  • Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373

    Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373

    Nov 14, 2022 03:16

    Kamanda wa Majeshi ya Iran amesema ndege zisizo na rubani za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa makombora ya kujihami ya masafa marefu wa Bavar 373.

  • Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Nov 13, 2022 01:11

    Kaimu Mkuu wa Kituo cha Biashara ya Iran na Afrika amesema: "Inatabiriwa kuwa kwa kasi ya sasa ya ustawi wa biashara ya Iran na Afrika katika mwaka huu (1401 Hijria Shamsia) kiwango cha mauzo ya bidhaa za Iran barani Afrika kitafika dola bilioni 1.8.

  • Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Nov 12, 2022 22:52

    Nchi za Magharibi baada ya kushindwa mradi wao wa kuibua ghasia nchini Iran sasa zinatafuta njia nyingine mpya mbadala ili kuiwekea mashinikizo Tehran. Katika uwanja huo, nchi za Magharibi khususan za Ulaya mbali na kuratibu vikwazo vipya zimejielekeza katika kutoa taarifa na maazimio dhidi ya Iran sambamba na kushadidisha mashinikizo ya kisiasa dhidi ya nchi hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS