-
Mafanikio ya kiistratijia ya kutumwa mafuta ya Iran nchini Lebanon; nguvu za muqawama za kutatua mgogoro
Sep 19, 2021 07:53Malori ya kwanza ya mafuta ya Iran yaliwasili nchini Lebanon Alkhamisi tarehe 16 Septemba, 2021 na kupokewa kwa shauku na furaha kubwa na wananchi wa nchi hiyo. Shehena ya pili ya mafuta hayo iliwasili Jumamosi asubuhi, Septemba 18 baada ya kuvuuka mpaka wa Syria na kuingia Lebanon.
-
Indhari ya Meja Jenerali Bagheri kwa makundi ya kigaidi yaliyo dhidi ya mapinduzi ya Kiislamu kaskazini mwa Iraq
Sep 19, 2021 03:24Mkuu wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu chokochoko za makundi ya kigaidi na yaliyo dhidi ya mapinduzi ya Kiislamu kaskazini mwa Iraq.
-
Rais Raisi: Uanachama wa Iran katika Jumuiya ya Shanghai ni mafanikio ya kidiplomasia
Sep 18, 2021 22:28Rais Ebrahim Raisi amesema, kuwa mwanachama wa kudumu Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ni harakati ya kistratejia na mafanikio ya kidiplomasia kwa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Gazeti la Russia: Iran imefelisha njama za Marekani katika Bodi ya Magavana ya IAEA
Sep 15, 2021 01:54Gazeti la Kommersant la Russia limeandika kuwa, Iran imefelisha njama za Marekani na waitifaki wake wa Ulaya za kutaka kutoa azimio dhidi ya Tehran katika kikao cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Naeem Qassem: Shehena za meli za mafuta za Iran ni mafanikio makubwa ya kisiasa dhidi ya dhulma za Marekani
Sep 11, 2021 21:45Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa shehena za meli za mafuta za Iran zilizotumwa Lebanon kwa ajili ya kupunguza mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ni mafanikio ya kisiasa na kijamii mbele ya dhulma za serikali ya Washington na jinai zake dhidi ya wanadamu.
-
Hizbullah: Kutumwa meli ya mafuta ya Iran Lebanon ni mwanzo wa kuvunjwa mzingiro wa Marekani
Sep 11, 2021 03:41Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, "kwa kutumwa meli ya mafuta ya Iran tumeingia kwenye awamu ya kuvunja mzingiro wa Marekani."
-
Iran yajibu upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa Israel
Sep 10, 2021 21:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu porojo na upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa, Iran ina haki ya kujibu chokochoko zozote zile.
-
Iran yalaani tuhuma za kuaibisha zilizotolewa na inayojiita kamati ya pande nne ya Jumuiya ya Waarabu
Sep 10, 2021 08:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani tuhuma za kuaibisha zilizotolewa na inayojiita kamati ya pande nne ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Kutumiwa kisiasa IAEA kutatufanya tutoe jibu tofauti
Sep 06, 2021 02:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya vikali Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya kufanya mahesabu ghalati katika mkutano wake ujao na kusisitiza kuwa, kutumiwa kama jukwaa la kisiasa taasisi hiyo kutailazimisha Tehran itoe jibu tofauti.
-
Ubunifu wa Hizbullah na kushindwa siasa za mzingiro na uingiliaji za Marekani
Sep 06, 2021 01:55Ubunifu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon katika kuingiza nchini mafuta kutoka Iran na hivyo kudhibiti mgogoro wa nishati wa nchi hiyo, kunachukuliwa kuwa ishara ya wazi ya kushindwa siasa za mzingiro za Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.