-
Wairani 10,000 tayari kupigwa chanjo ya majaribio ya Covid-19 iliyozalishwa nchini
Dec 23, 2020 08:57Takriban wananchi elfu kumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametangaza utayarifu wao wa kushiriki katika majaribio ya chanjo ya corona iliyozalishwa hapa nchini.
-
Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam
Dec 23, 2020 08:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatima ya Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.
-
Ulimwengu wa Spoti, Dec 21
Dec 21, 2020 05:59Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.
-
Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza
Dec 21, 2020 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine kadhaa duniani zimesimamisha kwa muda safari za ndege za kwenda na kutoka Uingereza baada ya kuripotiwa aina mpya ya msambao wa virusi vya corona mjini London na kusini mashariki mwa UK.
-
Iran yasisitiza nchi za Ulaya zitumie mfumo wa INSTEX
Dec 20, 2020 03:33Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa nchi za Ulaya zinapaswa kuthibitisha kuwa mfumo wa mabadilishano ya kifedha na Iran maarufu kama Instex unafanya kazi ili Iran iweze kunufaika kiuchumi na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Haki za binadamu; chombo cha kisiasa cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Iran
Dec 19, 2020 07:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupitishwa azimio lililo dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hakuna itibari yoyote ya kisheria na kwamba waliobuni azimio hilo wanazitumia vibaya taasisi za kimataifa.
-
Kupaswisha azimio dhidi ya Iran katika Bunge la Ulaya
Dec 18, 2020 03:11Wabunge wa Umoja wa Ulaya jana Alkhamisi walipasisha azimio linaloituhumu Iran kuwa inakiuka haki za binadamu
-
Mkuu wa IAEA: Iran inataka kuona dunia yenye usalama na uthabiti
Dec 17, 2020 04:08Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema hamu kubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuona usalama na uthabiti vinatawala duniani kote, na kwamba Tehran iko tayari kufanya mazungumzo amilifu na mataifa ambayo yapo tayari kufuata njia ya mazungumzo.
-
Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria
Dec 17, 2020 04:01Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vamizi vya nchi ajinabi vikiweko vya Marekani vinapaswa kuondoka nchini Syria mara moja.
-
Viongozi wa Marekani waendeleza misimamo yao ya kiuadui dhidi ya Iran
Dec 15, 2020 04:38Ikiwa ni katika kudumisha misimamo ya uhasama ya viongozi wa White House dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mjumbe maalumu wa serikali ya Marekani anayeshughulikia masuala ya Iran ameunga mkono vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran.