Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wairani 10,000 tayari kupigwa chanjo ya majaribio ya Covid-19 iliyozalishwa nchini

    Wairani 10,000 tayari kupigwa chanjo ya majaribio ya Covid-19 iliyozalishwa nchini

    Dec 23, 2020 08:57

    Takriban wananchi elfu kumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametangaza utayarifu wao wa kushiriki katika majaribio ya chanjo ya corona iliyozalishwa hapa nchini.

  • Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Dec 23, 2020 08:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatima ya Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.

  • Ulimwengu wa Spoti, Dec 21

    Ulimwengu wa Spoti, Dec 21

    Dec 21, 2020 05:59

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.

  • Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza

    Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza

    Dec 21, 2020 04:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine kadhaa duniani zimesimamisha kwa muda safari za ndege za kwenda na kutoka Uingereza baada ya kuripotiwa aina mpya ya msambao wa virusi vya corona mjini London na kusini mashariki mwa UK.

  • Iran yasisitiza nchi za Ulaya zitumie mfumo wa INSTEX

    Iran yasisitiza nchi za Ulaya zitumie mfumo wa INSTEX

    Dec 20, 2020 03:33

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa nchi za Ulaya zinapaswa kuthibitisha kuwa mfumo wa mabadilishano ya kifedha na Iran maarufu kama Instex unafanya kazi ili Iran iweze kunufaika kiuchumi na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Haki za binadamu; chombo cha kisiasa cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Iran

    Haki za binadamu; chombo cha kisiasa cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Iran

    Dec 19, 2020 07:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kupitishwa azimio lililo dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hakuna itibari yoyote ya kisheria na kwamba waliobuni azimio hilo wanazitumia vibaya taasisi za kimataifa.

  • Kupaswisha azimio dhidi ya Iran katika Bunge la Ulaya

    Kupaswisha azimio dhidi ya Iran katika Bunge la Ulaya

    Dec 18, 2020 03:11

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya jana Alkhamisi walipasisha azimio linaloituhumu Iran kuwa inakiuka haki za binadamu

  • Mkuu wa IAEA: Iran inataka kuona dunia yenye usalama na uthabiti

    Mkuu wa IAEA: Iran inataka kuona dunia yenye usalama na uthabiti

    Dec 17, 2020 04:08

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema hamu kubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuona usalama na uthabiti vinatawala duniani kote, na kwamba Tehran iko tayari kufanya mazungumzo amilifu na mataifa ambayo yapo tayari kufuata njia ya mazungumzo.

  • Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Dec 17, 2020 04:01

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vamizi vya nchi ajinabi vikiweko vya Marekani vinapaswa kuondoka nchini Syria mara moja.

  • Viongozi wa Marekani waendeleza misimamo yao ya kiuadui dhidi ya Iran

    Viongozi wa Marekani waendeleza misimamo yao ya kiuadui dhidi ya Iran

    Dec 15, 2020 04:38

    Ikiwa ni katika kudumisha misimamo ya uhasama ya viongozi wa White House dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mjumbe maalumu wa serikali ya Marekani anayeshughulikia masuala ya Iran ameunga mkono vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS