-
El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli
Oct 13, 2020 04:18Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, mashinikizo hayo yamegonga mwamba.
-
Iran yataka Saudi iwajibishwe kwa shughuli zake za siri za nyuklia
Oct 13, 2020 04:14Mwakilishi wa Iran katika Kamati ya Kwanza ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kubebeshwa dhima Saudi Arabia kutokana na kuendesha shughuli zake za nyuklia kwa siri na kificho.
-
Iran: Marekani ni kidhabi kwa kudai vikwazo vipya havilengi sekta ya afya
Oct 11, 2020 08:41Waziri wa Afya wa Iran amelaani hatua ya Marekani ya kuliwekea vikwazo shadidi taifa hili na kubainisha kuwa, utawala wa Washington umekubuhu kwa kusema uwongo, kwa madai yake kuwa vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu havilengi sekta ya afya na tiba.
-
Trump anaitusi Iran kwa sababu amefeli katika njama zake dhidi ya Iran
Oct 11, 2020 04:31Mwenyekiti wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran, Dkt. Kammal Kharrazi, ametoa kauli kufuatia matamshi yaliyojaa matusi ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran na kusema, Trump amepandwa na hasira baada ya kufeli njama zake dhidi ya Iran.
-
Mkurugenzi Mkuu wa IAEA akiri mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Oct 11, 2020 04:25Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekiri kuwa, kinyume na inavyodaiwa na Marekani, mpango wa nyuklia wa Iran unafuatilia malengo ya amani.
-
Zarif: Njama za Marekani za kuwaua Wairani kwa njaa ni jinai dhidi ya binadamu
Oct 09, 2020 04:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vipya vya kibenki na kusisitiza kuwa, taifa hili bila shaka litavuka salama udhalimu na ukatili huu mpya wa Washington.
-
Ravanchi: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani ni sawa na ugaidi wa kiserikali
Oct 09, 2020 04:14Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameyataja mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani kuwa ni sawa na ugaidi wa kiserikali na kueleza kuwa: Sera hizo zimeratibiwa lengo likiwa ni kuwasababishia mashaka na masaibu wananchi na pia kusababisha machafuko ya kijamii kwa mujibu wa siasa hizo za kifisadi ili kubadili serikali.
-
Borell akiri udharura wa Iran kunufaika na mkataba wa JCPOA
Oct 09, 2020 03:43Licha ya kuwa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ambayo inajumuisha nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zilikuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA, lakini baada ya Marekani kujitoa katika mapatano hayo, pande hizo zimekuwa na utendaji mbaya usioweza kutetewa kutokana na kuwa zimeshindwa kuyalinda na pia kutotekeleza ahadi zao, na hasa kuhusu kutofanikisha mfumo wa mabadilishano ya kifedha na kibiashara unaojulikana kama Instex.
-
Milioni ya Wairaq wafanya ziara ya Arubaini kuwawakisha Waislamu wenzao duniani
Oct 08, 2020 04:02Milioni ya Wairaq wamewasili katika Haram ya Imam Husain AS huko Karbala kuwawakilisha mamilioni ya wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW ambao mwaka huu wameshindwa kwenda Iraq kushiriki kumbukumbu hizo kutokana na corona.
-
Madai ya uongo ya Washington kuhusu hali ya corona nchini Iran
Oct 07, 2020 23:02Tangu Marekani ilipojiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hapo mwaka 2018 serikali ya Washington ilianza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhidiwa katika historia katika fremu ya kile kilichotajwa kuwa ni mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi.