Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Dec 09, 2018 00:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda na kuyafadhili kwa hali na mali makundi ya kigaidi duniani, na kwamba irada thabiti na jitihada za pamoja zinahitajika ili kulitokomeza jinamizi hilo linalotishia usalama wa dunia.

  • Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Dec 08, 2018 12:07

    Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.

  • Wazayuni, Wamarekani waunga mkono ugaidi nchini Iran

    Wazayuni, Wamarekani waunga mkono ugaidi nchini Iran

    Dec 08, 2018 12:04

    Waziri wa Usalama wa Taifa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na mashirika ya kijasusi ya baadhi ya nchi za eneo ni waungaji mkono wa ugaidi ndnai ya Iran."

  • Rouhani: Iran ndiyo mhanga mkubwa zaidi wa ugaidi duniani

    Rouhani: Iran ndiyo mhanga mkubwa zaidi wa ugaidi duniani

    Dec 08, 2018 06:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulizi ya kigaidi hayawezi kuzima azma kubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupambana kwa nguvu zote na ugaidi.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi Chabahar, yasema wahusika na mabwana zao watakiona

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi Chabahar, yasema wahusika na mabwana zao watakiona

    Dec 07, 2018 00:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililofanyika jana Alkhamisi katika mji wa Cahabah huko kusini mashariki mwa Iran.

  • Rais Rouhani asisitiza: Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Rais Rouhani asisitiza: Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Dec 06, 2018 06:39

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezihutubu nchi za Ulaya akisema Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa kujihami.

  • Rais Rouhani: Maadui hawawezi kustahamili izza na nguvu za Iran

    Rais Rouhani: Maadui hawawezi kustahamili izza na nguvu za Iran

    Dec 05, 2018 13:01

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kuwa, maadui wa taifa hili hawana chaguo jingine isipokuwa kusalimu amri na kuheshimu izza, uwezo na umoja wa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran na Uturiki zahimizwa kukabiliana na ugaidi na propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Iran na Uturiki zahimizwa kukabiliana na ugaidi na propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Dec 05, 2018 04:39

    Mkuu wa Jumuiya ya Masuala ya Dini nchini Uturuki amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki ambazo ni nchi kubwa zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati zinapaswa kuzidisha ushirikiano kwa ajili ya kupambana na ugaidi na njama zinazoeneza propaganda za kuchafua sura safi ya Uislamu.

  • Jumatano tarehe 5 Disemba 2018

    Jumatano tarehe 5 Disemba 2018

    Dec 04, 2018 21:38

    Leo ni Jumatano tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na Disemba 5 mwaka 2018.

  • Rouhani: Marekani haiwezi kukata uhusiano wa Iran na nchi za dunia

    Rouhani: Marekani haiwezi kukata uhusiano wa Iran na nchi za dunia

    Dec 04, 2018 11:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haina uwezo wa kukata uhusiano wa Iran na nchi mbalimbali duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS