-
Dakta Ali Larijani: Iran ina uwezo wa kukabiliana na vikwazo
Nov 07, 2018 00:34Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vinakinzana pia na sheria na kanuni za kimataifa na kusisitiza kuwa, taifa hili lina uwezo wa kukabiliana na vikwazo hivyo.
-
Video: Waislamu wa Kisuni Iran waungana na ndugu zao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha
Nov 06, 2018 08:11Wanavuoni, vijana na Waislamu wa matabaka mbalimbali wa Iran wameungana na ndugu zao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha AS, mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW ambaye pia ni Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia.
-
"Orodha ya vikwazo vipya dhidi ya Iran vinaonesha kukanganyikiwa Marekani"
Nov 06, 2018 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema miongoni mwa majina yaliyoko kwenye orodha ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Tehran ni benki iliyofungwa miaka sita iliyopita na meli ya mafuta ya Iran iliyozama katika bahari ya China karibu mwaka mmoja uliopita.
-
Jeshi la Iran na IRGC zazindua mfumo mpya wa makombora katika maneva ya ulinzi wa anga
Nov 06, 2018 04:31Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC zimeanza luteka ya kijeshi ya ulinzi wa anga iliyopewa jina la "Velayat 97".
-
Ujerumani: Uhusiano wa kibiashara na Iran unapaswa kuendelea kuwepo
Nov 06, 2018 01:19Msemaji wa serikali ya Ujerumani amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara kati ya nchi hiyo ya bara Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unapaswa kuendelea kuwepo.
-
Iran yazima hujuma ya Israel katika mitandao ya mawasiliano
Nov 06, 2018 01:18Iran imefanikiwa kuzima wimbi la mashambulizi kupitia intaneti (cyber-attack) ambayo yalikuwa yametekelezwa na utawala haramu wa Israel kwa lengo la kuvuruga mitandao ya mawasiliano nchini.
-
Rais Rouhani: Tutavishinda vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kwa umoja na msaada wa wananchi
Nov 05, 2018 10:19Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, taifa hili litafanikiwa kuvishinda vikwazo vya Marekani dhidi yake.
-
Pompeo akiri kutengwa Washington katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran
Nov 05, 2018 03:53Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amekiri kuwa Washington imetangwa katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran.
-
Rais Rouhani apongeza kushiriki wananchi katika hamasa ya tarehe 13 Aban
Nov 05, 2018 03:47Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kufanyika Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari kunadhihisha namna wananchi walivyofungamana na walivyo na shauku na Mapinduzi ya Kiislamu na malengo yake.
-
Washington Post: Marekani inaogopa nguvu za kijeshi za Iran
Nov 04, 2018 12:18Gazeti la Washington Post limeashiria jinsi Marekani ilivyorudi nyuma kutoka eneo la Ghuba ya Uajemi katika miezi kadhaa iliyopita na kuripoti kuwa viongozi wa nchi hiyo wana wasiwasi kutokana na uwezo wa kijeshi wa Iran unaozidi kuongezeka.