Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Papa Francis: Iran ni nchi yenye utamaduni tajiri na ustaarabu mkubwa

    Papa Francis: Iran ni nchi yenye utamaduni tajiri na ustaarabu mkubwa

    Nov 01, 2018 12:52

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amesema, sifa kubwa maalumu ya taifa la Iran ni kuwa kwake na utamaduni tajiri wa kiutu ambao unaweza kutumiwa kwa ajili ya kumuokoa mwanadamu wa zama hizi.

  • NYT: Trump atafeli katika sera zake za vikwazo dhidi ya Iran

    NYT: Trump atafeli katika sera zake za vikwazo dhidi ya Iran

    Nov 01, 2018 03:26

    Gazeti la New York Times la Marekani limeandika kuwa sera za Rais Trump wa Marekani za kuiwekea vikwazo Iran zitafeli.

  • Zarif: Mossad inatekeleza njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Zarif: Mossad inatekeleza njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Nov 01, 2018 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Denmark dhidi ya Iran ni katika fremu ya oparesheni ya upotoshaji inayotekelezwa na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel linalojulikana kama Mossad.

  • Rais Rouhani: Marekani itafeli tu katika njama zake mpya dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani itafeli tu katika njama zake mpya dhidi ya Iran

    Oct 31, 2018 12:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran, lakini nchi nyingi duniani za Asia na Ulaya zina hamu ya kuendeleza ushirikiano wao na Iran.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Oct 30, 2018 01:15

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea mjini Najaf, Iraq, kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Arubaini ya Imam Husain AS na pia kufanya ziara katika Haram tukufu ya Imam Ali AS.

  • Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe wa umoja na mshikamano wa Waislamu

    Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe wa umoja na mshikamano wa Waislamu

    Oct 28, 2018 04:38

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe muhimu wa mahaba, umoja na mshikamano wa Waislamu kote duniani mbele ya madola ya kibeberu.

  • Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Oct 27, 2018 12:11

    Waziri wa Kilimo wa Uganda Vincent Ssempijja amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa katika sekta ya kilimo, hivyo ametaka mashirika ya kilimo ya Iran yawekeze nchini humo na pande mbili kushirikiana zaidi katika miradi ya kilimo.

  • Trump azidi kupata pigo; Iran na Ulaya kufungua kanali maalumu ya mabadilishano ya fedha za kigeni

    Trump azidi kupata pigo; Iran na Ulaya kufungua kanali maalumu ya mabadilishano ya fedha za kigeni

    Oct 27, 2018 04:03

    Siasa za Marekani za kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimezidi kupata pigo baada ya nchi za Ulaya na Tehran kuamua kufungua kanali maalumu ya kifedha kwa ajili ya wasafirishaji nje bidhaa wa pande hizi mbili.

  • Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Oct 26, 2018 21:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump ni mwanagenzi na hana welewa wa kutosha kuhusu hali ya Mashariki ya Kati wala historia, sifa maalumu za watu wake na pia matukio ya miaka ya hivi karibuni ya eneo hili.

  • "Uwezo wa kujihami Iran ni kwa maslahi ya kuzuia vita Mashariki ya Kati"

    Oct 26, 2018 11:49

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa kujihami ni kwa shabaha ya kuzuia vita katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS