-
Iran yaibuka mshindi katika mechi ya Kombe la Dunia na Morocco
Jun 15, 2018 12:44Timu ya Taifa ya Soka ya Iran imeibuka mshindi wa bao moja kwa nunge katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia na Morocco nchini Russia mjini St. Petersburg.
-
Kiongozi Muadhamu: Hakuna shaka kwamba utawala wa Kizayuni utasambaratishwa kwa hima ya Waislamu
Jun 15, 2018 03:19Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni utasambaratishwa bila shaka kutokana na hima za Waislamu. Amesisitiza kuwa, utawala huo uliosimama kwa msingi batili utasambaratishwa na Waislamu.
-
Meja Jenerali Baqeri: Natumai amani na utulivu utatawala katika ulimwengu wa Kiislamu
Jun 14, 2018 03:34Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ana wingi wa matumaini kwamba karibuni hivi amani na utulivu utashuhudiwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Qatar yamteua balozi mpya maalumu kuhudumu Iran
Jun 14, 2018 03:18Sheikh Tamim bin Hamad, Amiri wa Qatar, amemteua Mohammed bin Hamad Al Hajri kuwa balozi mpya maalumu wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Tahadhari kuhusu njama zinazofanyika dhidi ya Uislamu na Iran
Jun 13, 2018 21:55Mwanafikra na kiongozi wa ngazi za juu wa kidini nchini Algeria ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rouhani: Iran itajiondoa JCPOA iwapo haitadhaminiwa maslahi yake
Jun 13, 2018 02:45Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo itahisi haistafidi wala kupata maslahi yoyote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Korea Kaskazini yakerwa na matamshi machafu ya Netanyahu dhidi ya Iran
Jun 11, 2018 23:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini ametoa radiamali kuhusiana na pendekezo la kejeli la Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Kizayuni kuhusu kuipa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran teknolojia ya kukabiliana na uhaba wa maji na kusema kuwa, Benjamin Netanyahu ni mtenda jinai na muongo mkubwa.
-
Kiongozi wa HAMAS: Iran ni nchi muhimu na mhimili wa msingi katika eneo
Jun 11, 2018 10:30Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuenzi na kuusifu mchango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuihami na kuiunga mkono Palestina na kusisitiza kwamba: Hamas haiungi mkono mhimili wowote wa Kiarabu au wa kieneo dhidi ya mhimili mwengine.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu undumakuwili wa nchi za Magharibi
Jun 11, 2018 06:07Ayatullahil Udhma Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumapili katika mkutano wake na mamia ya wahadhiri wa vyuo vikuu na wasomi kutoka taasisi mbali mbali za utafiti nchini alibainisha nafasi ya juu ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kimataifa.
-
Tahadhari kali ya Putin kuhusu athari mbaya za kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Jun 11, 2018 02:27Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali uamuzi wa Marekani wa kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA akisema unatishia usalama na amani ya Mashariki ya Kati.