Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Inspekta Mkuu wa IAEA ajiuzulu baada ya Marekani kujiondoa JCPOA

    Inspekta Mkuu wa IAEA ajiuzulu baada ya Marekani kujiondoa JCPOA

    May 12, 2018 02:50

    Inspekta Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ametangaza kujiuzulu ghafla, siku chache baada ya Rais Donald Trump kuiondoa Marekani kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran.

  • Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    May 12, 2018 00:08

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaunga mkono magaidi katika nchi za eneo hili ikiwemo Syria.

  • Alaeddin Boroujerdi: Umoja wa Ulaya unakabiliwa na mtihani muhimu wa kihistoria

    Alaeddin Boroujerdi: Umoja wa Ulaya unakabiliwa na mtihani muhimu wa kihistoria

    May 11, 2018 23:47

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hivi sasa Umoja wa Ulaya unakabiliwa na mtihani muhimu wa kihistoria.

  • JCPOA; Siasa za Iran na matarajio yake kwa nchi Ulaya

    JCPOA; Siasa za Iran na matarajio yake kwa nchi Ulaya

    May 11, 2018 23:45

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, mashauriano mapana, ya kina na ya nyuga tofauti yanaendelea kufanyika kwa madhumuni ya kuyadumisha makubaliano hayo kwa sharti la kudhaminiwa kivitendo manufaa na maslahi ya Iran. Na wakati nchi za Ulaya, China na Russia zinatangaza uungaji mkono wao kwa JCPOA, Marekani imetangaza vikwazo vingine vipya dhidi ya Iran.

  • Marekani imekiuka sheria kwa kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Marekani imekiuka sheria kwa kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    May 11, 2018 00:15

    Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa rasmi kufuatia kufuatia hatua ya Marekani kukiuka sheria na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Ufaransa; fursa yenye mpaka ya Ulaya kwa ajili ya kuhifadhi JCPOA

    Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Ufaransa; fursa yenye mpaka ya Ulaya kwa ajili ya kuhifadhi JCPOA

    May 10, 2018 23:35

    Baada ya Marekani kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, juhudi za madola ya Ulaya yaliyofikia makubaliano ya nyuklia na Iran zenye lengo la kuikinaishia Tehran ibakie katika makubaliano hayo zinaonekana kushika kasi zaidi.

  • Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya JCPOA

    Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya JCPOA

    May 09, 2018 09:22

    Wabunge katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wameitaka serikali ya Iran itekeleza Kipengee cha 3 cha Sheria ya Hatua Mkabala Kuhusuaiana na Utekelezwaji Mapatano ya Nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).

  • WHO yazindua oparesheni ya kuwapa chanjo watoto milioni mbili Afrika

    WHO yazindua oparesheni ya kuwapa chanjo watoto milioni mbili Afrika

    May 08, 2018 03:20

    Shirika la Afya Dunia WHO limesema operesheni kubwa kabisa ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa kipindupindu barani Afrika imezinduliwa, ili kuwasaidia watu milioni mbili katika nchi tano za Afrika.

  • Zarif: Marekani ikichukua uamuzi usio sahihi kuhusu JCPOA, itakabiliwa na jibu mwafaka la Iran

    Zarif: Marekani ikichukua uamuzi usio sahihi kuhusu JCPOA, itakabiliwa na jibu mwafaka la Iran

    May 07, 2018 03:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itakosea na kuchukua uamuzi usio sahihi kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), itakkabiliwa na jibu linalofaa kutoka kwa Iran.

  • Ulimwengu wa Spoti, Mei 7

    Ulimwengu wa Spoti, Mei 7

    May 07, 2018 01:28

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita..

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS