-
IAEA na EU zatetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 09, 2018 00:00Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na Umoja wa Ulaya (EU) zimetetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1.
-
Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge
Feb 06, 2018 03:46Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa mabunge ya nchi hii na Misri.
-
Jumanne tarehe 6 Februari 2018
Feb 05, 2018 23:14Leo ni Februari 19 Jamadil Awwal, 1439 Hijria sawa na 6 Februari, 2018.
-
Ulimwengu wa Michezo: Morocco yatwaa taji la CHAN, Iran yazinyuka China na Myanmar Futsal
Feb 05, 2018 03:42Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu tutupie jicho matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....
-
Marekani yaeandelea kulaaniwa kwa kumuweka Haniya, kiongozi wa Hamas, katika orodha yake 'magaidi'
Feb 04, 2018 04:40Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani vikali hatua ya Marekani kumuweka katika orodha eti ya magaidi kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya
-
Miamala ya kinafiki ya Marekani na kuwa macho wananchi wa Iran
Feb 02, 2018 04:50Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewahutubu viongozi wa Marekani akiwaambia kwamba, madai yao ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran ni sawa na machozi ya mamba.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia dawa na chakula kwa ajili ya Qatar
Feb 02, 2018 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman Al Thani amesema, baada ya nchi yake kuwekewa mzingiro na Saudi Arabia na waitifaki wake, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ndio njia pekee ya kudhaminia dawa na chakula kwa wananchi wa Qatar.
-
Naibu balozi wa Iran UN: Ukosefu wa usalama unaongeza umasikini
Feb 02, 2018 00:36Naibu balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ukosefu wa usalama na amani unachangia kuongezeka umasikini duniani.
-
Rouhani: Taifa la Iran haliwezi kusahau uvamizi wa Marekani katika eneo
Feb 01, 2018 10:29Katika kile kinachoonekana ni radiamali kwa matamshi ya kinafiki ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani, Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu taifa hili haliwezi kusahau vitendo vya kivamizi vya Marekani katika eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
Velayati: Iran ndiyo nchi yenye nguvu zaidi Mashariki ya Kati
Feb 01, 2018 04:27Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran ndiyo nchi yenye nguvu zaidi katika eneo nyeti zaidi duniani yaani Mashariki ya Kati.