Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ayatullah Araki: Iran imesambaratisha njama zote za Marekani Iraq, Palestina, Yemen na Syria

    Ayatullah Araki: Iran imesambaratisha njama zote za Marekani Iraq, Palestina, Yemen na Syria

    Aug 18, 2017 03:38

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesambaratisha njama za Marekani nchini Iraq, Palestina, Yemen na Syria.

  • Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi

    Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi

    Aug 17, 2017 02:15

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara, kuhusu umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kiulinzi wa pande mbil

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi lilioua na kujeruhi zaidi ya 100 Nigeria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi lilioua na kujeruhi zaidi ya 100 Nigeria

    Aug 16, 2017 22:08

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililosababisha mauaji ya makumi ya watu nchini Nigeria usiku wa kuamkia jana Jumatano.

  • Iran yakadhibisha madai ya US kuwa inakandamiza uhuru wa kuabudu

    Iran yakadhibisha madai ya US kuwa inakandamiza uhuru wa kuabudu

    Aug 16, 2017 09:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yaliyotolewa na Marekani kwamba hakuna uhuru wa kuabudu hapa nchini.

  • Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33

    Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33

    Aug 15, 2017 23:32

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametuma ujumbe tofauti kwa Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon na Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Lebanon katika vita vya siku 33.

  • Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Aug 15, 2017 03:31

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia masaa machache kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Vienna, iwapo Marekani itathubutu kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.

  • Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Aug 13, 2017 23:05

    Qasim al-Araji, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesema mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amemuomba awe mpatanishi katika mgogoro kati ya Saudia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Watu 13 wafariki dunia katika maafa ya mafuriko kaskazini mwa Iran

    Watu 13 wafariki dunia katika maafa ya mafuriko kaskazini mwa Iran

    Aug 12, 2017 08:46

    Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia hapa nchini Iran na makumi ya wengine kujeruhiwa huku mali za watu zikiharibiwa kufuatia maafa ya mafuriko yaliyoyakumba maeneo ya kaskazini mwa nchi.

  • Rais Rouhani: Iran na Chad zitaimarisha uhusiano wa pande mbili

    Rais Rouhani: Iran na Chad zitaimarisha uhusiano wa pande mbili

    Aug 12, 2017 02:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii iko tayari kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Chad katika nyuga mbalimbali.

  • Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Aug 11, 2017 21:53

    Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS