-
Iran yajitosheleza kuzalisha makombora, mabomu erevu, drone
Jul 18, 2017 21:58Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitosheleza katika kuzalisha silaha za aina mbalimbali zikiwemo makombora, mabomu erevu na ndege zisizo na robani au drone.
-
Jumatatu tarehe 17 Julai, 2017
Jul 16, 2017 23:51Leo ni Jumatatu tarehe 22 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 17, 2017
-
Jasusi mwingine wa Marekani atiwa mbaroni nchini Iran
Jul 16, 2017 10:49Msemaji wa Chombo cha Mahakama cha Iran amesema kuwa, jasusi mmoja mwenye uraia wa nchi mbili ukiwemo wa Marekani ambaye aliingia nchini Iran kwa ajili ya kufanya ujasusi, ametiwa mbaroni na wizara ya usalama wa taifa ya Iran.
-
Bahram Qassemi: Eneo la Masharki ya Kati halina haja ya kuanzisha muungano dhidi ya nchi fuilani
Jul 16, 2017 10:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, amani na uthabiti wa eneo la Mashariki ya Kati unahitajia ushirikiano wa mataifa yote na hakuna haja ya kuanzishwa muungano dhidi ya nchi fulani.
-
Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa
Jul 16, 2017 02:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa na kuzuia sala ya Ijumaa msikitini hapo na kuonya kuwa, hatua hizo zitakuwa na matokeo hatari sana.
-
Kenya na Iran zaafikiana kutotoza ushuru mara mbili
Jul 15, 2017 23:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kenya zimetiliana saini mapatano ya kutotozana ushuru mara mbili na pia kuzuia watu au mashirika ya nchi mbili kukwepa kulipa ushuru unaotokana na mapato na uwekezaji.
-
Antonio Guterres aipongeza Iran kwa kufungamana kikamilifu na JCPOA
Jul 15, 2017 08:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na kufungamana kwake kikamilifu na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Congress ya Marekani yataka kufanyike mazungumzo na Iran
Jul 15, 2017 03:21Congress imepasisha mswada ambao unailazimisha Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo yaani Pentagon kutafuta njia za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuepuka makabiliano ya kijeshi katika maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Miaka miwili ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani yaendelea kuyakiuka
Jul 15, 2017 01:43Sambamba na kutimu mwaka wa pili tangu Iran na nchi wanachama wa kundi la 5+1 zilipotia saini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza tena udharura wa Marekani kuheshimu na kutekeleza makubaliano hayo na kusema kuwa, JCPOA ni makubaliano ya kimataifa.
-
Marekani ina ndoto ya kijinga ya kuuangusha mfumo wa Kiislamu Iran
Jul 14, 2017 03:18Kamanda wa ngazi za juu nchini Iran amepuuzilia mbali matamshi ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani aliyasema Washington inataka kuuangusha mfumo wa Kiislamu wa Iran na kusema hiyo ni 'ndoto ya kijinga'.