Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Brigedia Jenerali Ashtari: Lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran

    Brigedia Jenerali Ashtari: Lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran

    Jul 13, 2017 10:40

    Kamanda wa polisi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo kuu la magaidi ni kuingia Iran kupitia njia mbalimbali na kwamba polisi humu nchini wanapaswa kuwa tayari kukabiliana na magaidi kwa kupokea taarifa za kiitelijensia katika maeneo ya mipakani.

  • Rohani: Taifa la Iran litayashinda madola ya kibeberu

    Rohani: Taifa la Iran litayashinda madola ya kibeberu

    Jul 11, 2017 11:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran limeonesha kuopitia uwezo wake, umoja na udiplomsia wake kuwa litashinda njama za madola makubwa ya kibeberu duniani.

  • Kijana wa Iran ashinda tuzo ya mvumbuzi bora wa dunia mwaka 2017

    Kijana wa Iran ashinda tuzo ya mvumbuzi bora wa dunia mwaka 2017

    Jul 11, 2017 03:47

    Khalil Nazari, mvumbuzi na mtafiti wa Kiirani amefanikiwa kushinda tuzo maalumu na medali ya fakhari ya mashindano makubwa ya uvumbuzi ya INPEX nchini Marekani.

  • Iran kushirikiana zaidi na Polisi ya Kimataifa, Interpol

    Iran kushirikiana zaidi na Polisi ya Kimataifa, Interpol

    Jul 10, 2017 22:39

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Iran amesema nchi za Ulaya na Marekani zinadai kupambana na ugaidi lakini hazichukui hatua za kutosha katika kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • Nchi za Kiislamu zatakiwa kushirikiana kimataifa

    Nchi za Kiislamu zatakiwa kushirikiana kimataifa

    Jul 10, 2017 09:23

    Mwenyekiti wa Kundi la Urafiki la Mabunge ya Iran na Niger katika Bunge la Iran amesema kuna haja kwa nchi za Kiislamu kushirikiana katika uga wa kimataifa ili kuwa na taathira katika maamuzi muhimu kwa maslahi ya nchi za Kiislamu.

  • HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    Jul 09, 2017 03:09

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi wa Palestina na hakuna wakati ambao Tehran ilisitisha himaya na uungaji mkono wake huo.

  • Iran yaunga mkono kikamilifu mkataba wa UN wa kupiga marufuku uundwaji silaha za nyuklia

    Iran yaunga mkono kikamilifu mkataba wa UN wa kupiga marufuku uundwaji silaha za nyuklia

    Jul 07, 2017 23:16

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, IAEA, amesema Iran ambayo ni muathirika wa silaha za maangamizi ya umati, inaunga mkono kikamilifu mkataba mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupigwa marufuku silaha za nyuklia.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi Sinai, yataka dunia kushirikiana zaidi

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi Sinai, yataka dunia kushirikiana zaidi

    Jul 07, 2017 22:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika jana katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua makumi ya watu.

  • Hamaki za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia baada ya kukwama siasa zao dhidi ya Qatar

    Hamaki za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia baada ya kukwama siasa zao dhidi ya Qatar

    Jul 07, 2017 01:33

    Adil al Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia ameshindwa kuzuia hamaki zake baada ya Qatar kukataa masharti ya nchi nne za Saudi Arabia, Bahrain, Misri na Imarati na amedai mbele ya waandishi wa habari mjini Cairo Misri kwamba eti uuganji mkono wa Iran kwa Qatar ni kuunga mkono ugaidi.

  • IRGC: Uwezo Jeshi la Iran ni kwa ajili ya amani, usalama

    IRGC: Uwezo Jeshi la Iran ni kwa ajili ya amani, usalama

    Jul 05, 2017 23:36

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC limesema linalenga kueneza amani katika kanda ya Mashaiki ya Kati na kusisitiza kuwa, uwezo wa kujihami wa Iran ni kwa ajili ya kuimarisha na kujidhaminia usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS