Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Kamwe hatutoacha kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina

    Iran: Kamwe hatutoacha kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina

    Jul 05, 2017 03:46

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) anayehusika na masuala ya kimataifa alisema jana kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitaacha kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Jul 05, 2017 03:43

    Naibu wa Mkuu wa Shirika la Ustawi wa Kibiashara la Iran anayehusika na masuala ya Kiarabu na Kiafrika amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara baina ya Tehran na Muscat Oman umeimarika sana katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • HAMAS: Uhusiano wetu na Iran ni imara

    HAMAS: Uhusiano wetu na Iran ni imara

    Jul 05, 2017 03:41

    Kiongozi mmoja muhimu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo daima itaendelea kuishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa taifa la Palestina bila ya kutarajia malipo yoyote kutoka kwao.

  • Hashdu sh-Sha'abi: Magaidi wa Kiwahabi na Saudia hawana lengo jingine ghairi ya kuitumikia Israel

    Hashdu sh-Sha'abi: Magaidi wa Kiwahabi na Saudia hawana lengo jingine ghairi ya kuitumikia Israel

    Jul 04, 2017 03:30

    Naibu Kamanda Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, amesema kuwa makundi ya kigaidi na waungaji wake mkono ikiwemo Marekani na Saudia, hawana malengo mengine ghairi ya kuutumikia utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif: Iran haitasahau jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria

    Zarif: Iran haitasahau jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria

    Jul 03, 2017 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran kamwe haitasahau jinai ya Marekani ya kutungua ndege yake ya abiria katika Ghuba ya Uajemi.

  • Iran yalaani hatua ya Marekani kutungua ndege yake ya abiria mwaka 1988

    Iran yalaani hatua ya Marekani kutungua ndege yake ya abiria mwaka 1988

    Jul 03, 2017 02:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani kitendo kilicho dhidi ya ubinadamu cha meli ya kivita ya Marekani kuitungua ndege ya abiria ya Iran Air Julai 3 mwaka 1988 na kuongeza kuwa Marekani inapaswa kuwajibika kuhusu jinai yake hiyo.

  • Zarif: Iran inapinga silaha za aina yoyote za kemikali

    Zarif: Iran inapinga silaha za aina yoyote za kemikali

    Jul 02, 2017 10:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa moja ya misingi mikuu ya Iran ni kupinga kikamilifu kuzalisha na kutumia silaha za aina yoyote za kemikali.

  • Rais Nkurunziza wa Burundi apokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran

    Rais Nkurunziza wa Burundi apokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran

    Jul 01, 2017 23:44

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amepokea vitmabulisho vya Murtadha Murtadhawi, Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye si mkazi.

  • Ongezeko la bidhaa za Iran zinazouzwa Somalia

    Ongezeko la bidhaa za Iran zinazouzwa Somalia

    Jul 01, 2017 12:24

    Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinazouzwa nchini Somalia.

  • Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine

    Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya Marekani na maadui wengine

    Jul 01, 2017 09:03

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitalegeza msimamo mbele ya maadui na kwamba nchi hii itatoa jibu kali kwa vitisho vyovyote vile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS