Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Iran zaanza

    Kampeni za uchaguzi wa rais Iran zaanza

    Apr 21, 2017 03:10

    Baada ya mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, kutangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kampeni zimeanza rasmi leo Ijumaa.

  • Majina ya wagombea urais Iran yatajwa, kampeni za uchaguzi zaanza

    Majina ya wagombea urais Iran yatajwa, kampeni za uchaguzi zaanza

    Apr 20, 2017 23:45

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, jana usiku alitangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mara baada ya kutangaza majina hayo alisema kuwa, kwa mujibu wa kifungu cha 66 cha sheria ya uchaguzi ya Iran, kampeni za uchaguzi wa 12 wa Rais zimeruhusiwa kuanza.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho yaanza Tehran

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho yaanza Tehran

    Apr 18, 2017 22:00

    Duru ya pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Walemavu wa Macho yanaanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 23.

  • Siku ya jeshi; dhihirisho la nguvu na uwezo wa kujilinda Iran

    Siku ya jeshi; dhihirisho la nguvu na uwezo wa kujilinda Iran

    Apr 18, 2017 06:28

    Leo tarehe 18 Aprili inasadifiana na Siku ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Leo jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeyatumia maadhimisho haya kuonyesha uwezo wake unaoongezeka kila siku ambao kimsingi ni ngome imara ya kukabiliana na wavamizi.

  • Rouhani: Baadhi ya majeshi ya dunia yanaunga mkono ugaidi na mapinduzi ya kijeshi

    Rouhani: Baadhi ya majeshi ya dunia yanaunga mkono ugaidi na mapinduzi ya kijeshi

    Apr 18, 2017 03:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jina la baadhi ya majeshi duniani linakumbushia uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi nyingine, mauaji ya kimbari, kuunga mkono ugaidi, kufanya mapinduzi ya kijeshi na kutoheshimu matakwa ya wananchi wa nchi hizo, lakini jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima linatajwa kwa wema.

  • Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Apr 18, 2017 03:41

    Kikao cha wataalamu wa masuala ya amani na utulivu wa Syria ambacho ni muendelezo wa mazungumzo ya amani ya Astana Kazakhstan, kimeanza leo Jumanne hapa mjini Tehran.

  • Pendekezo la Iran la kupatikana msaada kwa ajili ya usalama na amani nchini Afghanistan

    Pendekezo la Iran la kupatikana msaada kwa ajili ya usalama na amani nchini Afghanistan

    Apr 18, 2017 02:56

    Ijumaa iliyopita na katika kikao cha amani kwa ajili ya Afghanistan kilichofanyika mjini Moscow, Russia Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya Asia na Oceania sambamba na kuashiria juu ya changamoto na matatizo yanayoendelea nchini humo alisisitizia udharura wa kuwepo azma ya nchi zote kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Ulimwengu wa Spoti, Apr 17

    Ulimwengu wa Spoti, Apr 17

    Apr 17, 2017 02:31

    Karibu tukupashe kwa kina bingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran, matokeo ya Kombe la CAF na msimamo wa Ligi Kuu ya Soka Uingereza........

  • Zoezi la kuwachuja wagombea urais Iran laanza

    Zoezi la kuwachuja wagombea urais Iran laanza

    Apr 16, 2017 11:33

    Zoezi la kuwachuja waliojiandikisha kugombea awamu ya 12 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeanza leo Jumapili na matokeo yanatazamiwa kutangazwa katika kipindi cha siku tano zijazo.

  • Iran: Jeshi liko tayari kukabiliana na chokochoko zozote za maadui

    Iran: Jeshi liko tayari kukabiliana na chokochoko zozote za maadui

    Apr 16, 2017 11:24

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Ataollah Salehi amesema jeshi limejiweka tayari kukabiliana na chokochoko zozote zile za maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS