Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Feb 05, 2017 10:54

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono azma ya Brazil ya kutaka kuimarisha uhusiano na ushirikiano wake na Tehran katika nyuga tofauti.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; ishara nyingine ya kutoaminika Marekani

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; ishara nyingine ya kutoaminika Marekani

    Feb 04, 2017 13:39

    Wizara ya Hazina ya Marekani jana ilitoa taarifa inayowajumuisha shakhsia 25 wa kisheria na wasio wa kisheria katika orodha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran. Marekani imeiwekea Iran vikwazo hivyo vipya kwa kisingizio cha kufanya majaribio ya makombora.

  • Siku ya Hijabu ya Waridi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Siku ya Hijabu ya Waridi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Feb 04, 2017 13:28

    Sherehe ya kuadhimisha Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika leo mjini Dar es Salaam, Tanzania kwa ushirikiano wa ofisi ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Velayati: Marekani inafanya 'makeke hewa' dhidi ya Iran

    Velayati: Marekani inafanya 'makeke hewa' dhidi ya Iran

    Feb 03, 2017 04:16

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratijia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran amevielezea vitisho ilivyotoa Marekani kufuatia jaribio la kombora lililofanywa na Iran kuwa ni "makeke hewa".

  • Maonesho ya kwanza maalumu ya Iran Afrika Mashariki kufunguliwa Nairobi, Kenya

    Maonesho ya kwanza maalumu ya Iran Afrika Mashariki kufunguliwa Nairobi, Kenya

    Feb 01, 2017 13:02

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema, maonyesho ya kwanza maalumu ya Iran katika Afrika Mashariki katika nyuga za utaalamu wa ujenzi, mawasiliano na teknolojia, petroli na gesi, petrokemikali, teknolojia ya viumbe hai na tiba yatafunguliwa siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo Nairobi.

  • Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Feb 01, 2017 04:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Iran kuitupa sarafu ya dola baada ya maamuzi ya kibaguzi ya Trump

    Iran kuitupa sarafu ya dola baada ya maamuzi ya kibaguzi ya Trump

    Feb 01, 2017 00:51

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inapanga kuacha kutumia sarafu ya dola katika taarifa rasmi za kifedha kufuatia hatua ya wakuu wa Washington kuiweka nchi hii katika orodha ya nchi saba ambazo raia wake wanazuiwa kuingia Marekani.

  • Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora

    Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora

    Jan 31, 2017 10:00

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani kuhusu kubadilisha kadhia ya makombora halali ya Iran kuwa mchezo wa kisiasa.

  • Maadhimisho ya Ushindi ya Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Maadhimisho ya Ushindi ya Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Jan 30, 2017 06:04

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi vinavyokujieni kwa mnasaba wa Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini MA, hii ikiwa ni sehemu ya tano ya mfululizo huu.

  • Rouhani: Iran sio nchi yenye hofu na chuki kwa wageni

    Rouhani: Iran sio nchi yenye hofu na chuki kwa wageni

    Jan 30, 2017 04:52

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia muamala na uhusiano wake mzuri na nchi zingine kwa maslahi na manufaa ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS