Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Jan 07, 2017 03:47

    Naibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu katika masuala ya Iran amesema umoja na mshikamano wa Waislamu umewakosesha usingizi maadui wa dini hii tukufu.

  • Mwakilishi wa Iran UN: Mandela ni nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Mwakilishi wa Iran UN: Mandela ni nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Jan 05, 2017 04:10

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemtaja hayati mzee Nelson Mandela kuwa nembo ya mapambano dhidi ya ukandamizaji na ubaguzi wa rangi.

  • Iran yakanusha madai ya kukataa kutuma mahujaji mwaka huu

    Iran yakanusha madai ya kukataa kutuma mahujaji mwaka huu

    Jan 04, 2017 12:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai yanayosema kuwa, Tehran imekataa kutuma mahujaji wake mwaka huu na kusema kuwa madai hayo hayana ukweli wowote.

  • Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Jan 04, 2017 04:09

    Ali Akbar Velayati, Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema hakuna siku Jamhuri ya Kiislamu itawatelekeza wananchi na serikali ya Syria.

  • Sayansi na Teknolojia

    Sayansi na Teknolojia

    Jan 04, 2017 04:07

    Karibuni katika mjumuiko huu mpya wa vipindi ambavyo vinaangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba duniani na hasa nchini Iran. Karibuni kujiunga nasi ambapo leo tutaangazia mafanikio ya wanasayansi wa Iran katika kutengeneza chombo cha kutibu magonjwa ya ubongo kama vile Parkinson kati ya mengine. Karibu kujiunga nami hadi mwisho.

  • Bunge la Iran latoa tamko kwa mnasaba wa mwaka mmoja wa kuuawa shahidi Sheikh Nimr

    Bunge la Iran latoa tamko kwa mnasaba wa mwaka mmoja wa kuuawa shahidi Sheikh Nimr

    Jan 03, 2017 11:05

    Kwa mara nyingine wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (yaani bunge) wamelaani vikali adhabu ya kifo dhidi ya Sheikh Nimr Baqir an-Nimri, msomi wa kidini na mwanamapambano wa Saudia iliyotolewa na utawala wa kifalme wa nchi hiyo mwaka mmoja uliopita.

  • Rouhani: Iran inapinga jaribio lolote la kuzigawa nchi za Mashariki ya Kati

    Rouhani: Iran inapinga jaribio lolote la kuzigawa nchi za Mashariki ya Kati

    Jan 02, 2017 03:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hii leo nchi nyingi zimekiri na kukubali mchango na nafasi yenye taathira kubwa ya Jamhuri ya Kiislamu katika kuimarisha amani na utulivu kwenye eneo la Mashariki ya Kati na kwamba, Iran imekwamisha njama za kutaka kuzigawa nchi za ene hilo.

  • Iran yakanusha kupokea barua ya Saudia ya mwaliko wa Hija

    Iran yakanusha kupokea barua ya Saudia ya mwaliko wa Hija

    Jan 01, 2017 13:07

    Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai ya Saudi Arabia kuwa imetuma barua ya mwaliko kwa Iran wa kushiriki kwenye Hija ya mwaka ujao.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka

    Jan 01, 2017 04:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.

  • Rais Rouhani: Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Umoja wa Ulaya

    Rais Rouhani: Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Umoja wa Ulaya

    Dec 31, 2016 23:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran inakaribisha kwa mikono miwili ushirikiano katika nyuga zote na Umoja wa Ulaya ikiwemo nchi ya Romania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS