-
Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia
Dec 28, 2025 00:05Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.
-
Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani
Oct 15, 2025 09:55Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja na mshikamano zaidi kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) ili kukabiliana na kuongezeka kwa misimamo ya upande mmoja na uvunjaji sheria unaofanywa na baadhi ya madola.
-
Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika
Sep 19, 2025 23:03Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.
-
Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba
Sep 04, 2025 04:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Ghana imesema kuwa Ubalozi wake hapa mjini Tehran, Iran, utaanza tena kazi zake Jumanne ya Septemba 16, baada ya kufungwa kwa muda.
-
Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?
Aug 13, 2025 08:19Katika hali ambayo nchi nyingi za Kiafrika zinakabiliwa na changamoto za miundombinu na ukosefu wa teknolojia mpya, Iran imetoa fursa mpya za ushirikiano na ubadilishanaji wa teknolojia kwa kutegemea uwezo wake wa kiufundi, kiuhandisi na kitaalamu.
-
Maspika wa Mabunge ya Iran na Tanzania wataka kuimarisha ushirikiano wa Kibunge
Jul 31, 2025 09:43Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge ya Dunia (IPU).
-
Iran iko tayari kusaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja
Jun 08, 2025 01:56Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa tayari kuisaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja za bei nafuu nchini humo.
-
Waziri Araghchi yupo Misri kujadili Gaza, uhusiano wa Tehran-Cairo
Jun 02, 2025 03:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi yuko katika mji mkuu wa Misri, Cairo, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na maafisa wakuu wa nchi hiyo, juu ya uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Misri pamoja na maendeleo katika eneo la Asia Magharibi, yakiwemo mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
-
Je, Iran na nchi za Afrika zinawezaje kukamilishana kiuchumi?
May 27, 2025 07:31Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa serikali ya Iran inalipa kipaumbele maalumu suala la mahusiano na bara la Afrika, na ameonesha matumaini ya mustakabali mwema katika ushirikiano wa pande mbili.
-
Spika Qalibaf: Iran, Algeria zinahitaji kufanya kazi kusaidia usambazaji wa misaada Gaza
May 15, 2025 08:31Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran na Algeria zinahitaji kufanya kazi ili kusaidia juhudi za kufikisha misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita.