Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kushiriki mkutano nchini Misri

    Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kushiriki mkutano nchini Misri

    Dec 17, 2024 11:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kuwa, Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika mkutano wa D-8 nchini Misri.

  • Ivory Coast yasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran

    Ivory Coast yasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran

    Dec 01, 2024 04:12

    Balozi wa Ivory Coast nchini Iran amesisitiza azma ya nchi yake ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran.

  • Iran yaanza kuzipelekea vifaa vya tiba, nchi nane za Afrika + Picha

    Iran yaanza kuzipelekea vifaa vya tiba, nchi nane za Afrika + Picha

    Nov 07, 2024 12:18

    Shirika la vifaa vya matibabu la Hilal Nyekundu la Iran lenye makao yake mkoani Al Borz, Alkhamisi, Nivemba 11, 2024 limeanza kuzipelekea vifaa vya tiba nchi nane tofauti za bara la Afrika.

  • Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Nov 07, 2024 09:55

    Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Nov 02, 2024 03:00

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha uhusiano na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyuga mbali mbali.

  • Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran

    Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran

    Oct 28, 2024 06:54

    Afrika Kusini na Somalia zimelaani vikali shambulio la Jumamosi alfajiri la Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa chokochoko hizo za utawala wa Kizayuni zinatishia usalama wa ukanda mzima wa Asia Magharibi.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran

    Oct 28, 2024 06:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri jana Jumapili ilitoa taarifa na kusema kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Badr Abdelatty amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi na kujadiliana naye kuhusu shambulio la Israel la siku ya Jumamosi dhidi ya baadhi ya maeneo ya Iran.

  • Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Oct 24, 2024 07:19

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amemuenzi na kumpongeza kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela kutokana na jitihada na mapambano yake dhidi ya dhulma na ukandamizaji.

  • Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Aug 29, 2024 02:51

    Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia vifo vya wananchi wa Sudan katika mafuriko + Video

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia vifo vya wananchi wa Sudan katika mafuriko + Video

    Aug 28, 2024 06:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mafuriko nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS