Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Jul 08, 2018 09:41

    Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, washauri wa kijeshi wa Iran watasalia nchini Syria kuisaidia nchi hiyo ya Kiarabu kuzima chokochoko za mabaki ya magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi.

  • Wanafikra wa Kiarabu wakasirishwa na mwandishi wa Saudia aliyetaka kuimarishwa uhusiano na Israel

    Wanafikra wa Kiarabu wakasirishwa na mwandishi wa Saudia aliyetaka kuimarishwa uhusiano na Israel

    Jul 07, 2018 21:56

    Weledi wengi wa Kiarabu wamepatwa na hasira kali kufutia pendekezo la mwandishi mmoja wa Saudi Arabia, aliyeitaka serikali ya nchi hiyo kupanua mahusiano yake na utawala khabithi wa Kizayuni.

  • Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jul 06, 2018 22:50

    Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.

  • UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jul 05, 2018 09:38

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa

    Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa

    Jul 04, 2018 02:57

    Askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia kwa risasi hai maandamano ya wanawake wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 134 miongoni mwao.

  • Walimu wa sekondari Tunisia wakataa kusahihisha mtihani wakipinga Israel

    Walimu wa sekondari Tunisia wakataa kusahihisha mtihani wakipinga Israel

    Jul 03, 2018 23:21

    Walimu wa wa Tunsia wamepinga vikali mtihani wa historia na jografia ulioitambua Israel kuwa ni "dola" badala ya utawala vamizi na wamekataa kusahihisha mtihani huo.

  • Hizbullah: Shambulizi lolote la Israel dhidi ya Lebanon litajibiwa kwa kuteketeza eneo la Golan

    Hizbullah: Shambulizi lolote la Israel dhidi ya Lebanon litajibiwa kwa kuteketeza eneo la Golan

    Jul 03, 2018 03:05

    Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon sambamba na kuashiria onyo kali lililotolewa na Ufaransa kwa utawala haramu wa Kizayuni, imesema kuwa chokochoko yoyote ya Israel itakayofanywa dhidi ya Lebanon, itapelekea kuteketezwa eneo la milima ya Golan inayodhibitiwa na Israel kwa sasa.

  • Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Jul 02, 2018 09:55

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeashiria uhusiano wa siri kati ya utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain na utawala ghasibu wa Israel na kufichua kwamba, viongozi wa Manama wanataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Tel-Aviv.

  • Bahrain, Israel zaongoza kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani

    Bahrain, Israel zaongoza kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani

    Jul 02, 2018 03:21

    Mbunge wa zamani wa Bahrain amesema nchi hiyo ya Kiarabu ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani.

  • Waandamanaji wa Kipalestina watungua drone ya Israel

    Waandamanaji wa Kipalestina watungua drone ya Israel

    Jul 01, 2018 02:49

    Waandamanaji wa Kipalestina wamedondosha ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel, katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS