Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Apr 07, 2018 03:22

    Aprili Tano ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Watoto wa Palestina. Katika siku hii, Wapalestina walisisitiza kuhusu kutetea haki za watoto na pia walikumbusha ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israeli ikiwa ni pamoja na kutiwa mbaroni, kuteswa na kuuawa.

  • Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 07, 2018 03:09

    Taarifa ya mwisho ya mkutano wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) uliofunga shughuli zake jana Ijumaa katika mji mkuu wa Azerbaijan Baku, imelaani sera zilizo kinyume cha sheria za utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikisisitiza juu ya udharura wa kuwepo jitihada za pamoja za kutamatisha ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina.

  • "Marekani imemshurutisha Bin Salman kuufanya wa kawaida uhusiano wa Saudia na Israel"

    Apr 06, 2018 09:26

    Imebainika kuwa Marekani imempa Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia masharti kadhaa ikiwemo kuufanya wa kawaida uhusiano wa Riyadh na Tel Aviv, ili imsadie kutwaa kiti hicho bila pingamizi.

  • Marekani yawataka Wapalestina wasisogelee maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Marekani yawataka Wapalestina wasisogelee maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Apr 06, 2018 03:27

    Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Mashariki ya Kati amewataka wafanya maaadamano wa Palestina wasisogelee mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Apr 05, 2018 10:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia huku akitoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa kimataifa juu ya jinai za utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Apr 03, 2018 21:59

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amebatilisha makubaliano kati ya Tel Aviv na Umoja wa Mataifa, kuhusu kupelekwa katika nchi za Magharibi wahajiri wa Kiafrika wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Bin Salman aukingia kifua hadharani utawala haramu wa Israel

    Bin Salman aukingia kifua hadharani utawala haramu wa Israel

    Apr 03, 2018 09:29

    Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia amejitokeza hadharani na kuutambua utawala huo ghasibu, sambamba na kusisitiza kuwa Wazayuni wana haki juu ya ardhi yao.

  • Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Apr 03, 2018 09:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeitaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuwasilisha faili la mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Apr 01, 2018 03:06

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewapongeza na kuwashukuru wanajeshi wa utawala huo haramu waliowaua na kuwajweruhiwa mamia ya Wapalestina waliokuwa wakifanya maandamano ya amani hivi karibuni katika mpaka wa Ghaza, kushinikiza kurejea katika ardhi zao zilizoghusubiwa.

  •  Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Mar 31, 2018 11:37

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel linasema linawaua Wapalestina wanaoandamana kwa kutegemea fatuwa ya mashekhe wa Kiwahhabi kutoka Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS