-
Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi
Mar 30, 2018 11:24Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Mufti wa Tanzania azitaka taasisi za Hija zimuogope Mwenyezi Mungu
Mar 28, 2018 03:37Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeir amezitaka taasisi zote zinazojihusisha na usafirishaji wa mahujaji, kufanya shughuli zao kwa utaratibu unaostahili, huku wakimuogopa Mwenyezi Mungu.
-
Netanyahu maji yamfika shingoni; siasa zake zakosolewa hata na Wazayuni
Mar 28, 2018 02:59Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel anakabiliwa na hali mbaya ya kisiasa kutokana na ukosoaji dhidi ya siasa zake kuongezeka kila siku ambapo sasa maafisa wa zamani wa usalama wa utawala huo ghasibu wamejiunga na safu ya wakosoaji wake.
-
Jeshi la Israel lawateka nyara makumi ya Wapalestina
Mar 27, 2018 03:16Vikosi vya utawala wa Kizayuni vimewateka nyara makumi ya Wapalestina wakiwemo wanawake, katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Ripoti: Facebook inahudumia malengo ya Israel
Mar 26, 2018 21:58Wizara ya Sheria ya Israel imetangaza kuwa, idara inayosimamia mtandao wa kijamii wa Facebook ilikubali asilimia karibu 85 ya matakwa ya utawala huo haramu ya kuondolewa na kuzuiwa maelezo yanayohusiana na Wapalestina na jinsi wanavyokandamizwa katika kurasa za mtandao huo.
-
Maandamano Tel Aviv baada ya kuhani kuwatusi Waafrika kuwa ni nyani
Mar 25, 2018 10:12Watu Zaidi ya 24,000, wengi wakiwa ni wahajiri, wameandamana katika mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakilaani kubaguliwa Waafrika.
-
Kuendelea kujitanua Israel katika kivuli cha uungaji mkono wa Marekani
Mar 23, 2018 23:26Vyombo vya habari vimetangaza juhudi zinazofanywa na utawala haramu wa Israel kwa ajili ya kujenga maelfu ya nyumba mpya katika ardhi za Wapelestina.
-
Saudia yafungua anga yake kwa ndege zinazoenda Israel
Mar 23, 2018 03:12Kwa mara ya kwanza, Saudi Arabia imefungua anga yake na kuziruhusu ndege za shirika la Air India kutumia anga hiyo katika safari zake za kwenda na kutoka Israel.
-
Kenya ni mwenyeji wa Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel
Mar 22, 2018 11:36Duru ya 14 ya 'Wiki ya Kupambana na Ubaguzi wa Rangi wa Israel' inafanyika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikijumuisha maonyesho ya filamu, mijadala na matamasha ya kiutamaduni.
-
Kiongozi wa Kizayuni aliyefananisha Waafrika na nyani akosolewa vikali
Mar 21, 2018 10:47Kundi moja la kupambana na ubaguzi limemkosoa vikali kiongozi wa kidini wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwafaninisha watu weusi wenye asili ya Afrika na nyani.