Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Feb 03, 2018 04:11

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, amejibu madai ya hivi karibuni ya Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel aliyedai kwamba kisima nambari tisa cha mafuta na gesi ya Lebanon katika Bahari ya Mediterranean ni mali ya Israel na kusema, Lebanon sio tonge laini kwa yeyote yule.

  • Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Jan 31, 2018 12:01

    Gadi Eizenkot, mkuu wa majeshi ya utawala haramu wa Israel ameonyesha wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka uwezo wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Jumamosi, 27 Januari 2018

    Jumamosi, 27 Januari 2018

    Jan 27, 2018 00:45

    Leo ni Jumamosi tarehe 9 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe 27 Januari mwaka 2018 Miladia.

  • Makundi ya kitakfiri yahudumia malengo ya utawala wa Kizayuni

    Makundi ya kitakfiri yahudumia malengo ya utawala wa Kizayuni

    Jan 27, 2018 00:44

    Duru za habari zimefichua sura mpya na pana zaidi ya ushirikiano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi ya kitakfiri na kigaidi huko Syria na kutangaza kwamba, utawala huo umeunda kundi la kigaidi kwa ajili ya kuusaidia utawala huo katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya Golan.

  • Iran yasema utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo cha matatizo Mashariki ya Kati

    Iran yasema utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo cha matatizo Mashariki ya Kati

    Jan 26, 2018 00:27

    Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio kitovu cha matatizo Mashariki ya Kati ambapo sera zake za uvamizi na kujitanua zimefanya hali kuwa mbaya zaidi.

  • Baraza la Haki za Binadamu la UN lakosoa jinai za Israel

    Baraza la Haki za Binadamu la UN lakosoa jinai za Israel

    Jan 24, 2018 10:33

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai unazowafanyia wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden: Israel inayo makombora ya nyuklia

    Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden: Israel inayo makombora ya nyuklia

    Jan 24, 2018 04:26

    Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden Carl Bildt ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba: Israel inayo makombora ya kisasa ya balistiki yenye uwezo wa kinyuklia.

  • Abbas autaka Umoja wa Ulaya kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Abbas autaka Umoja wa Ulaya kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Jan 22, 2018 22:59

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameutaka Umoja wa Ulaya (EU) kuharakisha suala la kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Hassan Nasrullah: Inasikitisha kuona bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na Israel

    Hassan Nasrullah: Inasikitisha kuona bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na Israel

    Jan 20, 2018 01:12

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kuzitaka nchi zote za dunia kujiepusha kufanya uhusiano na utawala katili wa Israel, ameonyesha masikitiko kwamba bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na utawala huo.

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS