-
Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu
Aug 27, 2017 03:24Kwa mara nyingine tena maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Tel Aviv huko Israel kushinikiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.
-
Libya: Kibaraka wa Mossad alikuwa imamu wa Swala za jamaa na kiongozi wa Daesh Libya + Video
Aug 26, 2017 10:56Maafisa wa Libya wamethibitisha kuwa, wamemtia nguvuni kiongozi wa kundi la Daesh ambaye alikuwa akilifanyia kazi shirika la ujasusi la Israel, Mossad.
-
Matamshi ya chuki ya Netanyahu dhidi ya Iran
Aug 25, 2017 02:05Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine ameonana na Rais Vladimir Putin wa Russia katika mji wa Sochi na kujaribu kwa tamaa zake kuionesha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa eti ni nchi hatari katika eneo la Mashariki ya Kati na duniani kiujumla; hata hivyo amefeli.
-
Jordan: Askari wa Kizayuni aliyeua Wajordan lazima ahukumiwe
Aug 22, 2017 03:53Kufuatia mashinikizo na malalamiko ya Wajordan kuhusiana na kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni aliyeua raia wawili wa nchi hiyo, hatimaye serikali ya Amman imetangaza msimamo wake wa kutaka kupandishwa mahakamani askari huyo.
-
Israel yapatwa na wasiwasi kwa kupanuka mahusiano ya Iran na Uturuki
Aug 21, 2017 04:00Mchambuzi na mwandishi wa Israel amesema kuwa utawaka Kiizayuni umepatwa na wasiwasi mkubwa kufuatia safari ya Mkuu wa Vikosi vya Jeshi la Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uturuki katika fremu ya kupanua mahusiano ya pande zotei wa nchi hizo mbili.
-
Rais wa zamani wa Lebanon: Yemen itashinda vita kama vile Iraq na Syria zilivyowashinda magaidi
Aug 17, 2017 23:46Rais wa zamani wa Lebanon Émile Lahoud amesema kuwa, Wayemen wataibuka washindi dhidi ya vibaraka wa Saudi Arabia, kama ambavyo Syria na Iraq zimepata ushindi dhidi ya magaidi na waungaji wao mkono.
-
Ripoti: Balozi wa Israel kurejea mjini Cairo, Misri
Aug 17, 2017 02:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umesema utafungua tena ubalozi nchini Misri na kumrejesha balozi wake mjini Cairo.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Israel itashindwa vibaya na kufedheheka katika vita yoyote ya baadaye
Aug 13, 2017 23:31Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, kushindwa na kufedheheka vitaukumba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita yoyote ile itakayotokea, zaidi ya kushindwa kulikoukuta katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.
-
Jordan yamzuia balozi wa Israel kurejea mjini Amman
Aug 12, 2017 03:07Serikali ya Jordan imeripotiwa kumzuia balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kurejea mjini Amman hadi pale hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya mlinzi wa ubalozi wa Israel aliyeua raia wawili wa Jordan hivi karibuni.
-
UN: Mzingiro dhidi ya Ghaza unapasa kuhitimishwa
Aug 11, 2017 21:54Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa ametaka kuhitimishwa mzingiro wa utawala ghasibu wa Isarel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.