Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Apr 21, 2017 03:06

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa, uwezo wake wa kijeshi ni jambo ambalo limeuzuia utawala haramu wa Israel kuanzisha hujuma na mashambulizi mapya dhidi ya nchi hiyo.

  • Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 20, 2017 23:44

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja na amemlaumu vikali Nikolay Mladenov, mratibu maalumu wa umoja huyo katika mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati kwa kudharau kutaja milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Israel, katika ripoti yake kwa umoja huo.

  • Wapalestina 400 wakamatwa kwa kutumia Facebook kupinga Israel

    Wapalestina 400 wakamatwa kwa kutumia Facebook kupinga Israel

    Apr 16, 2017 22:24

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakamata Wapalestina 400 kwa sababu ya kuandika maneno yaliyo dhidi ya utawala huo katika mtandao wa kijamii wa Facebook.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zilishirikiana katika tukio la silaha za kemikali la Khan Sheikhoun, Syria

    Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zilishirikiana katika tukio la silaha za kemikali la Khan Sheikhoun, Syria

    Apr 16, 2017 11:31

    Afisa wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesema utawala wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel zilishirikiana na viongozi wa Marekani katika njama ya shambulio la silaha za kemikali dhidi ya eneo la Khan Sheikhoun nchini Syria.

  • Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Apr 16, 2017 07:46

    Jumuiya ya Masuala ya Mateka na Watu Walioachiliwa Huru ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel imefikia 6,500.

  • PLO: White House imekaliwa na kuendeshwa na Wazayuni

    PLO: White House imekaliwa na kuendeshwa na Wazayuni

    Apr 16, 2017 03:13

    Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imesema Ikulu ya Marekani ya White House imekaliwa na kuendeshwa na walowezi wa Kiyahudi.

  • Netanyahu: Tutaendelea kuwapa matibabu magaidi wa Syria

    Netanyahu: Tutaendelea kuwapa matibabu magaidi wa Syria

    Apr 09, 2017 23:09

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amesema Tel Aviv itaendelea kuwapa matibabu magaidi wanaojeruhiwa katika harakati zao za kujaribu kuingusha serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria.

  • Utawala wa Kizayuni na wimbi jipya la migomo

    Utawala wa Kizayuni na wimbi jipya la migomo

    Apr 09, 2017 01:58

    Katika siku za hivi karibuni, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshuhudia wimbi jipya la migomo. Mgomo wa karibuni kabisa ni ule wa wanadiplomasia wa ofisi za kibalozi za utawala huo dhalimu ambao wameamua kufanya mgomo wa wote kulalamikia mishahara na marupurupu madogo wanayopatiwa.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Apr 08, 2017 22:10

    Jumuiya ya Wafanyakazi nchini Norway imetoa wito wa katambulwia rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Apr 05, 2017 08:25

    Jumatano ya leo tarehe 5 Aprili Wapalestina wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Palestina huku askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiendelea kufanya mauaji na ukatili wa kutisha dhidi ya watoto katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS