-
EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv
Apr 04, 2017 11:21Katika hali ambayo Marekani imezungumzia mpango wa kuhamishia ubalozi wake ulioko Israel kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds tukufu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Umoja wa Ulaya umesema nchi wanachama wake hazitofuata sera hizo za Washington.
-
Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina
Apr 02, 2017 03:36Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano katika eneo la Quds tukufu kulaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Israel inakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi za Palestina
Mar 30, 2017 02:21Utawala wa Kizayuni wa Israel unakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi zote za Wapalestina.
-
Waarabu wajidhalilisha kwa kutaka kufanya 'mapatano ya kihistoria' na Israel
Mar 29, 2017 22:46Viongozi wa nchi za Kiarabu wamemaliza kikao chao cha siku moja cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kilichofanyika nchini Jordan kwa kutangaza kuwa wako tayari kufanya kile walichokiita 'mapatano ya kihistoria' na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Makumi ya makuhani wa Kizayuni wadhalilisha watu kijinsia, watiwa mbaroni
Mar 29, 2017 22:02Zaidi ya makuhani 20 wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zilizovamiwa na kuanza kukaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni mwaka 1948 wametiwa mbaroni kwa kosa la kuwadhalilisha watu kijinsia.
-
Hamas: Israel ijiandae kwa jibu kali kwa kumuua kamanda wetu
Mar 28, 2017 11:57Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imesema itatoa jibu kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kumuua mmoja wa makamanda wake waandamizi.
-
Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni
Mar 27, 2017 03:16Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wamefanya maandamano nje ya ukumbi kunakofanyika kongamano la lobi ya Kizayuni ya Kamati ya Marekani na Israel ya Masuala ya Umma (AIPAC) mjini Washington.
-
Askari wa Israel wamuua shahidi kijana mwengine Mpalestina, ujenzi wa vitongoji waongezeka kwa asilimia 40
Mar 24, 2017 00:00Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameishambulia kwa risasi gari moja kaskazini mwa Ramallah katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na kupelekea kuuawa shahidi kijana mmoja Mpalestina na kujeruhiwa wengine watatu.
-
Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni na kutojali kwake ripoti za Umoja wa Mataifa
Mar 22, 2017 11:58Katika hali ambayo jinai na sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina zinakabiliwa na malalamiko na upinzani wa walimwengu pamoja na jumuiya za kimataifa, utawala huo dhalimu umeamua kushadidisha mashambulio yake dhidi ya wananchi hao madhulumu.
-
Israel yakiri kuongezeka harakati ya ususiaji dhidi yake duniani
Mar 21, 2017 00:38Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, vimetangaza ongezeko kubwa la 'Harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji dhidi ya Israel' maarufu kwa jina la BDS.