Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yafedheheka kwa kutunguliwa ndege yake ya vita huko Syria

    Israel yafedheheka kwa kutunguliwa ndege yake ya vita huko Syria

    Mar 19, 2017 23:30

    Kufuatia hatua ya hivi karibuni ya kikosi cha Jeshi la Anga la Syria kutungua ndege ya kivita ya utawala haramu wa Israel baada ya ndege hiyo kuingia anga ya Syria, Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa Israel ametishia kushambulia vituo vya silaha za kutungulia ndege vya Syria.

  • PLO yaikosoa UN kwa kushinikiza kufutwa ripoti dhidi ya Israel

    PLO yaikosoa UN kwa kushinikiza kufutwa ripoti dhidi ya Israel

    Mar 19, 2017 03:58

    Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Mataifa kuagiza kufutwa ripoti ya Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) kuhusu siasa za ubaguzi za Israel.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aungana na Israel dhidi ya Syria, Hizbullah

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aungana na Israel dhidi ya Syria, Hizbullah

    Mar 19, 2017 02:05

    Msemaji wa jeshi la utawala haramu wa Israel amekiri kuwa ndege za kivita za utawala huo zimefanya mashambulizi dhidi ya vituo vya kijeshi nchini Syria.

  • Wapalestina waliunga mkono jeshi na serikali ya Syria

    Wapalestina waliunga mkono jeshi na serikali ya Syria

    Mar 18, 2017 12:20

    Mwakilishi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina hapa mjini Tehran amesema kuwa, makundi ya muqawama ya Palestina yanaliunga mkono jeshi na serikali ya Syria katika kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni na pia kukomboa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Mar 18, 2017 03:40

    Russia imemuita Balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini Moscow ajieleza kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo kuhujumu anga ya Syria sambamba na kutekeleza mashambulizi kadhaa katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Syria: Shambulizi la Israel ni jaribio la kuwapa motisha magaidi

    Syria: Shambulizi la Israel ni jaribio la kuwapa motisha magaidi

    Mar 17, 2017 23:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Karibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu shambulizi lililofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi ya nchi hiyo na kusema ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawala ya Syria.

  • Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Mar 17, 2017 23:19

    Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) amejizulu wadhifa wake baada ya Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres kutoa amri ya kufutwa ripoti ya kamati hiyo inayoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi, Apartheid.

  • Wapalestina waushitaki utawala haramu wa Israel katika mahakama ya ICC

    Wapalestina waushitaki utawala haramu wa Israel katika mahakama ya ICC

    Mar 17, 2017 23:18

    Mwenyekiti wa Kituo cha Haki za Binadamu cha Palestina Radhi al Surani amesema kuwa kutuo hicho kimewasilisha mashtaka sita dhidi ya utawala haramu wa Isarel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Zarif: Israel ndio tishio kubwa zaidi la nyuklia duniani

    Zarif: Israel ndio tishio kubwa zaidi la nyuklia duniani

    Mar 17, 2017 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ni "tishio kubwa zaidi la nyuklia" dhidi ya eneo la Mashariki ya Kati na ulimwengu mzima.

  • Wapalestina wengi wanataka Mahmoud Abbas ajiuzulu

    Wapalestina wengi wanataka Mahmoud Abbas ajiuzulu

    Mar 17, 2017 04:09

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa asilimia 64 ya Wapalestina wanataka Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ajiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS