Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel inataka kujenga kisiwa katika pwani ya Ghaza

    Israel inataka kujenga kisiwa katika pwani ya Ghaza

    Mar 14, 2017 03:47

    Kanali ya kwanza ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imetangaza kuwa waziri wa usafirishaji wa Israel amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa kadhaa wa nchi za Kiarabu kwa minajili ya kuchunguza mpango wa kujenga kisiwa karibu na pwani ya Ukanda wa Ghaza katika kile kinachoonekana ni kutaka kuwadhibiti zaidi Wapalestina.

  • Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Mar 12, 2017 03:52

    Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamefanya maandamano kulaani sheria iliyopasishwa hivi karibuni na Bunge la Israel ya kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Mar 11, 2017 02:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa vikali muswada wa sheria uliopasishwa hivi karibuni na Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, unaopania kupiga marufuku kusomwa adhana katika misikiti ya Quds tukufu.

  • Sisitizo la kimataifa la kufuatiliwa hatari ya silaha za nyuklia za Israel

    Sisitizo la kimataifa la kufuatiliwa hatari ya silaha za nyuklia za Israel

    Mar 11, 2017 02:31

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA alisema siku ya Alkhamisi kuwa, silaha za nyuklia za Israel ni hatari kwa usalama wa dunia nzima na kuutaka wakala huo ulipe uzito mkubwa suala la kufuatilia silaha hizo hatari za utawala wa Kizayuni.

  • Wanajeshi wa Israel wamkamata mbunge mwanamke Mpalestina

    Wanajeshi wa Israel wamkamata mbunge mwanamke Mpalestina

    Mar 10, 2017 04:02

    Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamewakamata Wapalestina kadhaa akiwemo mbunge mwanamke.

  • Mufti Mkuu wa Quds: Wapalestina hawatairuhusu Israel iingilie masuala yao ya kidini

    Mufti Mkuu wa Quds: Wapalestina hawatairuhusu Israel iingilie masuala yao ya kidini

    Mar 09, 2017 13:00

    Mufti Mkuu wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Ahmad Hussein amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupasisha muswada wa sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.

  • Bunge la Israel lapasisha sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds

    Bunge la Israel lapasisha sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds

    Mar 09, 2017 04:41

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel limepasisha hatua ya kwanza ya muswada wa sheria inayopiga marufuku adhana katika misikiti ya mji mtakatifu wa Quds.

  • Mwito wa UN wa kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mwito wa UN wa kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 09, 2017 00:36

    Kamishna Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ametoa muswada mpya wa kuzitaka nchi za dunia kuacha kufanya biashara yoyote ile na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Jibu baridi la Utawala wa Kizayuni kuhusu kuenea vikwazo dhidi yake

    Jibu baridi la Utawala wa Kizayuni kuhusu kuenea vikwazo dhidi yake

    Mar 07, 2017 23:49

    Kufuatia kuimarika harakati ya kimataifa ya kuususia na kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel, bunge la utawala huo limepitisha sheria kuwazuia waungaji mkono wa vikwazo hivyo kuingia katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Israel yaendeleza jinai zake dhidi ya raia wanaodhulumiwa wa Wapalestina

    Israel yaendeleza jinai zake dhidi ya raia wanaodhulumiwa wa Wapalestina

    Mar 07, 2017 00:59

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapa amri wanajeshi wake wavamie na kuvunja makumi ya nyumba za wananchi wa Palestina katika kijiji cha Khan al Ahmar, mashariki mwa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS