-
Utawala wa Kizayuni washambulia kwa mizinga Ukanda wa Ghaza
Sep 06, 2016 02:58Kikosi cha mizinga cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimefanya mashambulizi katika eneo la kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.
-
Palestina yaitaka dunia ikomeshe jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 03, 2016 11:43Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo uliyowapora Wapalestina.
-
Jihad Islami Palestina kuendeleza mapambano ya kukomboa Quds
Sep 02, 2016 10:27Afisa wa ngazi za juu wa harakati ya kupigania ukombozi Palestina ya Jihad Islami amesisitiza udharura wa kuendelezwa mapambano na mwamko (Intifadha) dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ili kukomboa ardhi zote za Palestina hasa Quds Tukufu (Jerusalem).
-
Ripoti: Israel inajiandaa kuubomoa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga 'hekalu la tatu'.
Aug 16, 2016 11:52Imeelezwa kuwa taasisi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinafanya maandalizi ya kuanza kutekeleza mradi wa ubomoaji wa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga mahala pake maabadi iitwayo "Hekalu la Tatu la Sulaiman".
-
Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel
Aug 15, 2016 03:23Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua mwenzake wa Lebanon kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 10 ya ushindi wa nchi hiyo dhidi ya askari vamizi wa utawala haramu wa Israel.
-
Wasiwasi wa kimataifa kuhusu hali ya wafungwa wa Kipalestina
Aug 13, 2016 07:10Katika kuendelea wasiwasi wa kimataifa kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa Kipalestina wanaoendelea kuteseka katika jela za utawala wa kibaguzi wa Israel, Shirika la Msamaha Duniani sawa na mashirika mengine eti ya kutetea haki za binadamu ya nchi za Magharibi ambayo kwa kawaida hunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya raia wa Palestina, mara hii limeutaka utawala huo umuachie huru Bilal Kayed mfungwa wa Kipalestina ambaye amegoma kula chakula tangu miezi miwili iliyopita.
-
Amnesty yaitaka Israel imuachie huru Mpalestina aliyesusia chakula
Aug 12, 2016 23:20Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutaka utawala haramu wa Israel umuachie huru mfungwa wa Kipalestina Bilal Kayed ambaye amekuwa katika mgomo wa chakula kwa miezi miwili sasa.
-
"Madai kuwa Iran imeipa Daesh silaha ni kichekesho"
Aug 11, 2016 10:01Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha madai ya kipropaganda yanayoenezwa na vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa Tehran imelipa silaha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Arab League yalaani kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Aug 01, 2016 03:03Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imelaani hatua ya Israel ya kuendeleza ujenzi wa nyumba nyingine za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina.
-
Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama
Jul 30, 2016 01:38Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana na kusisitiza kuwa Riyadh inahuisha uhusiano wake na Tel Aviv pasina na kuzingatia maslahi ya Wapalestina.