-
Israel yaua Wapalestina zaidi ya mia moja na kujeruhiwa makumi kwenye eneo la ibada huko Gaza
Aug 10, 2024 04:00Zaidi ya Wapalestina 100 wameuawa shahidi na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mauaji mapya yaliyofanywa na utawala vamizi wa Israel katikati mwa mji wa Gaza alfajiri ya leo, Jumamosi.
-
Iran: Usitishaji vita Ghaza hauna uhusiano wowote na haki yetu ya kujibu mapigo kwa ugaidi wa Israel
Aug 09, 2024 23:59Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulipiza kisasi dhidi ya ugaidi wa Israel ndani ya Iran haina uhusiano wowote na mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza.
-
Sanders: Wamarekani hawaungi mkono vita vya kikatili vya Netanyahu
Aug 09, 2024 04:13Seneta moja mashuhuri nchini Marekani kwa mara nyingine ametoa mwito wa kusitishwa vita mara moja katika Ukanda wa Gaza akisisitiza kuwa, wananchi wa Marekani hawaungi mkono jinai na vita vya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel dhidi ya wakazi wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa na linalokaliwa kwa mabavu.
-
NAM: Mauaji ya Ismail Haniyah ni kitendo cha kigaidi
Aug 07, 2024 03:21Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) sanjari na kulaani mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Kisiasa wa Harakati ya Muqawama ya Palestina HAMAS, imeyataja mauaji hayo kama kitendo cha kigaidi.
-
Mahakama: Iran itatumia uwezo wake wote kujibu mauaji ya Haniyah
Aug 06, 2024 22:58Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatumia uwezo wake wote kulipiza kisasi cha mauaji ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), akiwa mjini Tehran.
-
Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza
Aug 06, 2024 08:46Vikosi vya jeshi la Israel vimeiba zaidi ya miili 2,000 iliyofukuliwa kutoka kwenye makaburi mbalimbali katika ukanda wa Gaza, huku ripoti kutoka Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza zikisema baadhi ya maiti zimerudishwa baada ya majeshi ya Israel "kuvunjia heshima miili" ya marehemu hao.
-
Baada ya UN, Iran yaitaarifu EU: Tutalitia adabu genge la wahalifu la utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 03, 2024 03:27Iran itatumia haki yake ya asili na halali ya kuliadhibu "genge la wahalifu la Kizayuni" kwa shambulio lake la kigaidi la siku ya Jumatano iliyopita, ambalo lilipelekea kuuawa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh mjini Tehran.
-
Kamanda Salami: Muqawama utalipiza kisasi cha jinai za karibuni za Israel
Aug 01, 2024 23:14Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema jinai za hivi karibuni za Israel katika eneo la Asia Magharibi zimechochea moto wa ghadhabu miongoni mwa wapiganaji wa makundi ya muqawama ambao sasa wana azma thabiti ya kulipiza kisasi mkabala wa utawala wa Kizayuni.
-
IRGC: Israel isubiri jibu kali la kuumiza kwa kumuua kigaidi Haniyah
Jul 31, 2024 07:27Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka ujiandae kwa matokeo mabaya na majibu makali ya kuumiza kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
-
Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel
Jul 30, 2024 23:34Matamshi ya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan kuhusu uwezekano wa kuchukua hatua dhidi ya Israel sawa na hatua zilizochukuliwa Karabakh na Libya yameongeza mvutano wa maneno kati ya Ankara na Tel Aviv.