Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Chile yajiunga na malalamiko ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Chile yajiunga na malalamiko ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jun 30, 2024 04:11

    Chile imetangaza kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kufanya jinai ya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

  • UN  yakosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    UN yakosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Jun 30, 2024 02:43

    Mratibu Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Amani ya Asia Magharibi, akielezea wasiwasi wake juu ya kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ameutaja upanuzi wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel: Israel inapaswa kukomesha mauaji ya kimbari ya watu wa Palestina

    Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel: Israel inapaswa kukomesha mauaji ya kimbari ya watu wa Palestina

    Jun 28, 2024 22:55

    Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Uingereza amesema kuwa, amani kwa Wapalestina inawezekana tu iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utakomesha siasa za ubaguzi wa rangi na mauaji ya kimbari.

  • Misri yaikosoa Israel kwa kuiba misaada ya kibinadamu ya Wapalestina

    Misri yaikosoa Israel kwa kuiba misaada ya kibinadamu ya Wapalestina

    Jun 26, 2024 23:29

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Misri amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kupora na kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza, kupitia kivuko cha Rafah.

  • Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Jun 26, 2024 23:28

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.

  • Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Jun 22, 2024 07:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasi wasi mkubwa alionao kutokana na kushtadi taharuki baina ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Israel na kusisitiza kuwa, dunia haiwezi kuvumilia Lebanon igeuzwe Gaza nyingine.

  • Kamanda mwingine wa Hizbullah auawa shahidi na droni ya Wazayuni Lebanon

    Kamanda mwingine wa Hizbullah auawa shahidi na droni ya Wazayuni Lebanon

    Jun 18, 2024 04:36

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon inatazamiwa kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya ngome za walowezi wa Kizayuni, baada ya kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la muqawama kuuawa shahidi kusini mwa Lebanon.

  • Mashirika ya kiraia Senegal yataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Mashirika ya kiraia Senegal yataka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Jun 18, 2024 03:38

    Wanaharakati wa mashirika ya kiraia nchini Senegal wametoa mwito kwa serikali ya nchi yao kukakata uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel, kutokana na jinai za kivita na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Israel yashambulia tena Nuseirat, Wapalestina 17 wauawa shahidi

    Israel yashambulia tena Nuseirat, Wapalestina 17 wauawa shahidi

    Jun 18, 2024 03:36

    Kwa mara nyingine tena, askari wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mashambulio ya kikatili kwenye kambi ya wakimbizi ya Nuseirat na kuua shahidi na kujeruhi makumi ya Wapalestina.

  • Ripoti: ICC kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu karibuni

    Ripoti: ICC kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu karibuni

    Jun 17, 2024 03:03

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), katika kipindi cha siku 10 zijazo huenda ikafikia uamuzi wa kutolewa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS