-
Idadi ya waliofariki katika tetemeko la ardhi Italia yafikia watu 247
Aug 25, 2016 03:38Huku timu za uokoaji zikiendelea na kazi ya kuwatafuta majeruhi na manusura wa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 kwa kipimo cha rishta lililotokea katikati mwa Italia, hadi sasa imethibitishwa kuwa watu wasiopungua 247 wamepoteza maisha katika janga hilo la kimaumbile.
-
Watu 37 wapoteza maisha katika tetemeko la ardhi Italia; idadi huenda ikaongezeka
Aug 24, 2016 03:12Watu 37 wanaripotiwa kuaga dunia nchini Italia kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo ingawa kuna uwezekano wa kuongezeka wahanga wa janga hilo la kimaumbile.
-
EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%
Aug 13, 2016 03:00Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.
-
Miili 217 ya wahajiri yapatikana Italia
Jul 07, 2016 09:43Miili zaidi ya 200 ya wahajiri imepatika katika mabaki ya boti iliyozama katika Bahari ya Mediterranean Aprili mwaka jana 2015.
-
Misri yalalamikia hatua ya Italia ya kukata ushirikiano wake na Cairo
Jul 07, 2016 02:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imeelezea kusikitishwa kwake na hatua ya Italia ya kusimamisha ushirikiano wake na Cairo.
-
Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco
Jun 13, 2016 10:50Vyombo vya usalama nchini Morocco vimesema kuwa vimemtia nguvuni raia wa Italia anayeaminika kuwa na mafungamano na kundi la kigaidi la Daesh.
-
Maelfu ya wakimbizi waokolewa katika Bahari ya Mediterranean
Jun 09, 2016 23:32Gadi ya fukwe za bahari ya Italia imetangaza habari kwamba imewaokoa maelfu ya wakimbizi katika Bahari ya Mediterranean katika siku za Jumatano na Alkhamisi.
-
Waziri Mkuu wa Italia asisitiza kutekelezwa makubaliano na Iran
Apr 13, 2016 09:46Waziri Mkuu wa Italia ametilia mkazo kutekelezwa makubaliano yaliyosianiwa kati ya nchi yake na Iran.
-
Kiongozi: Marekani inatoa misaada kwa magaidi
Apr 12, 2016 13:39Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema misaada ya silaha na kifedha inayotoa Marekani kwa makundi ya kigidi ni moja ya vizuizi katika utatuzi wa tatizo la ugaidi.
-
Waziri Mkuu wa Italia atembelea Iran kuhuisha uhusiano
Apr 12, 2016 11:35Rais Hassan Rouhani amesema kuwa Iran inataka kuona uhusiano wa kibiashara na Italia unafika kiwango kilichokuwepo kabla ya nchi hii kuwekewa vikwazo vya nyuklia.