-
Askari wa Umoja wa Mataifa washindwa kurejesha amani CAR
Jun 22, 2017 03:49Licha ya kupita miaka minne tokea kutumwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, lakini bado nchi hiyo inashuhudia machafuko ambayo yamepelekea mamia ya watu kuuawa.
-
Wakimbizi wa Kiislamu Afrika ya Kati wana hali mbaya ya kibinaadamu
Jun 20, 2017 22:14Habari kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaarifu kwamba, jumla ya wakimbizi 1500 wa Kiislamu waliolazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo, wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinaadamu eneo la Bangassou nchini humo.
-
Maelfu ya raia wa CAR wakimbilia mkoa wa Equator Kongo DR
Jun 16, 2017 10:56Habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinaarifu kuwa, tangu mwezi Mei mwaka huu, hadi hivi sasa zaidi ya wakimbizi elfu 30 kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameingia katika mkoa wa Equator wa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa waelezea wasiwasi wake wa kuenea machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 10, 2017 03:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi ulionao umoja huo wa kuenea zaidi machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku kukiwa na taarifa kwamba, raia wa nchi hiyo wameendelea kuyakimbia makazi yao.
-
Wanajeshi wa Congo Brazzaville watishiwa kufukuzwa CAR
Jun 06, 2017 23:42Kamanda wa kikosi cha Umoja wa Mataifa kinacholinda amani Jamhuri ya Afrika ya Kati ametishia kuwafukuza wanajeshi wa Congo Brazzaville wanaolinda amani nchini humo kutokana na utovu wa nidhamu.
-
CAR kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi kwa kuondoka wanajeshi wa Uganda
May 24, 2017 23:57Eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati litakumbwa na mgogoro wa kiuchumi baada ya wanajeshi wa Uganda kuondoka katika eneo hilo. Wanajeshi hao wa UPDF walikuwa wametumwa nchini humo kupambana na waasi wa Kikristo wa LRA.
-
ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe
May 24, 2017 03:22Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amelaani vikali mauaji ya kutisha yanayofanyika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikitaka mapigano mapya yanayoendelea katika mji wa Bangassou, karibu na mpaka wa nchi hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yasitishwe mara moja.
-
AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA
May 20, 2017 23:03Umoja wa Afrika umetoa wito wa msaada wa kijeshi wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikrsito wa LRA kutoka Uganda walio katika misitu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiongozwa na Joseph Kony.
-
UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR
May 20, 2017 08:15Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha vyombo vya habari duniani cha kudharau kuakisi habari yza mashambulizi na mauaji ya makumi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Mapigano yaendelea CAR, watano wauawa na makumi wajeruhiwa
May 18, 2017 02:51Mapigano yameendelea kushuhudiwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ambapo watu wasiopungua watano wanaripotiwa kuuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa.