-
Ripoti: Raia 450 wameuawa DRC kati ya Januari na Julai 2021
Aug 24, 2021 03:25Shirika moja la kiraia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema mamia ya raia wameuawa ndani ya miezi saba ya kwanza ya mwaka huu 2021.
-
Watu kadhaa wauawa na waasi wa ADF mjini Beni, Kongo DR
Aug 12, 2021 03:38Watu wasiopungua watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi la waasi wa kundi la ADF katika eneo la Beni katika mkoa wa Kivu Kaskazini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Makumi wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR
Aug 02, 2021 22:46Makumi ya watu wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea huko magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wanachuo waandamana Kongo kupinga kuuliwa mwenzao kwa kutovaa barakoa
Jul 27, 2021 03:17Wanafunzi wa Chuo Kikuu mjini Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameendelea kuandamana kulalamikia kitendo cha polisi cha kumuua mwanachuo mwenzao kwa madai ya kutovaa barakoa ya kujikinga na maambukizi ya corona.
-
Mafuriko yasababisha maafa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Jul 17, 2021 07:52Mafuriko yaliyotokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 16.
-
Congo DR yaweka kafyu katika mji wa Beni baada ya milipuko ya mabomu kanisani
Jun 28, 2021 06:17Wakazi wa mji wa Beni nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Jumatatu wamekumbana na zuio la kafyu katika mji huo baada ya milipuko mitatu ya mabomu kutokea katika mji huo. Maafisa wametahadharisha kuwa, wana taarifa kwamba milipuko mingine zaidi inaratibiwa.
-
Mamia ya wakimbizi wa Kongo DR wamiminika Uganda
Jun 16, 2021 21:59Wakimbizi karibu elfu moja raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasili nchini Uganda katika kipindi cha siku chache zilizopita.
-
Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO
Jun 16, 2021 07:54Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetuma askari wake wa Kikosi cha Radiamali ya Haraka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwenda kusaidia jitihada za kupambana na magenge ya kigaidi na makundi yanayobeba silaha.
-
Rais wa DRC: Hospitali Kinshasa zimefurika wagonjwa wa Corona
Jun 13, 2021 21:53Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametahadharisha kuwa, nchi hiyo huenda ikakabiliwa na maafa makubwa katika wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya Corona.
-
UNHCR: Volkano ya Nyiragongo imevuruga maisha ya wengi DRC
Jun 02, 2021 23:39Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine wanaendelea kutoa msaada kwa watu waliolazimika kuyakimibia makazi yao baada ya mlipuko wa volkano katika Mlima Nyiragongo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.