Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Makumi ya watu waaga dunia kwenye mgodi Kongo DR + Sauti

    Makumi ya watu waaga dunia kwenye mgodi Kongo DR + Sauti

    Jun 28, 2019 11:01

    Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa shaba nyekundu na kobalti huko kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Baraza la Usalama laongeza muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR

    Baraza la Usalama laongeza muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR

    Jun 27, 2019 22:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa vikwazo dhidi ya shakhsia kadhaa wakiwemo makamanda wa jeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mwaka mmoja zaidi.

  • Mapigano ya kikabila DRC yazitia hofu asasi za kijamii + Sauti

    Mapigano ya kikabila DRC yazitia hofu asasi za kijamii + Sauti

    Jun 19, 2019 22:06

    Asasi za kijamii za jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekumbwa na wasiwasi baada ya kuzorota hali ya usalama katika mkoa wa Ituri wa kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na mapigano ya kikabila yanayoendelea. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.

  • UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR

    Jun 18, 2019 08:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya watu laki tatu wameikimbia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kutokana na mapigano ya kikabila.

  • Mahakama ya Katiba DRC yalalamikiwa kwa kutengua uchaguzi wa wabunge wa upinzani + Sauti

    Mahakama ya Katiba DRC yalalamikiwa kwa kutengua uchaguzi wa wabunge wa upinzani + Sauti

    Jun 15, 2019 11:27

    Mabalozi wanne wa nchi za Ulaya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameilaumu Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo kwa kutengua ushindi wa baadhi ya wabunge wa upinzani na kuupatia mrengo unaomuunga mkono Rais Mstaafu, Joseph Kabila. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

  • Kongo DR yatuma ombi rasmi la kuwa mwanachama wa EAC

    Kongo DR yatuma ombi rasmi la kuwa mwanachama wa EAC

    Jun 13, 2019 22:04

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetuma ombi rasmi la kutaka kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC.

  • Ripoti: Israel ilifanya ujasusi kwa niaba ya Kabila wa DRC

    Ripoti: Israel ilifanya ujasusi kwa niaba ya Kabila wa DRC

    Jun 11, 2019 02:49

    Uchunguzi uliofanywa na kanali moja ya televisheni ya Israel umefichua kuwa, shirika la kijasusi la utawala huo haramu la 'Black Cube' lilikodiwa na aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila kwa ajili ya kufuatilia nyendo za wapinzani na wakosoaji wake.

  • Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Jun 09, 2019 22:06

    Hujuma na mashambulizi dhidi ya makundi ya madaktari Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikubwa cha kupambana na ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.

  • Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Jun 05, 2019 09:07

    Kundi la kigaidi la Daesh limedai kuwa ndilo lililohusika na shambulizi lililoua watu kadhaa katika mkoa ulioathiriwa na ugonjwa wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    May 30, 2019 21:58

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 26 karibu na mji wa Beni ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola, mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS