-
Makumi ya watu waaga dunia kwenye mgodi Kongo DR + Sauti
Jun 28, 2019 11:01Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa shaba nyekundu na kobalti huko kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Baraza la Usalama laongeza muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR
Jun 27, 2019 22:17Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa vikwazo dhidi ya shakhsia kadhaa wakiwemo makamanda wa jeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mwaka mmoja zaidi.
-
Mapigano ya kikabila DRC yazitia hofu asasi za kijamii + Sauti
Jun 19, 2019 22:06Asasi za kijamii za jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekumbwa na wasiwasi baada ya kuzorota hali ya usalama katika mkoa wa Ituri wa kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na mapigano ya kikabila yanayoendelea. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.
-
UNHCR: Zaidi ya watu laki 3 wamekimbia mapigano Kongo DR
Jun 18, 2019 08:05Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya watu laki tatu wameikimbia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kutokana na mapigano ya kikabila.
-
Mahakama ya Katiba DRC yalalamikiwa kwa kutengua uchaguzi wa wabunge wa upinzani + Sauti
Jun 15, 2019 11:27Mabalozi wanne wa nchi za Ulaya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameilaumu Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo kwa kutengua ushindi wa baadhi ya wabunge wa upinzani na kuupatia mrengo unaomuunga mkono Rais Mstaafu, Joseph Kabila. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Kongo DR yatuma ombi rasmi la kuwa mwanachama wa EAC
Jun 13, 2019 22:04Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetuma ombi rasmi la kutaka kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC.
-
Ripoti: Israel ilifanya ujasusi kwa niaba ya Kabila wa DRC
Jun 11, 2019 02:49Uchunguzi uliofanywa na kanali moja ya televisheni ya Israel umefichua kuwa, shirika la kijasusi la utawala huo haramu la 'Black Cube' lilikodiwa na aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila kwa ajili ya kufuatilia nyendo za wapinzani na wakosoaji wake.
-
Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC
Jun 09, 2019 22:06Hujuma na mashambulizi dhidi ya makundi ya madaktari Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikubwa cha kupambana na ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.
-
Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR
Jun 05, 2019 09:07Kundi la kigaidi la Daesh limedai kuwa ndilo lililohusika na shambulizi lililoua watu kadhaa katika mkoa ulioathiriwa na ugonjwa wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola
May 30, 2019 21:58Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 26 karibu na mji wa Beni ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola, mashariki mwa nchi.