Hotuba ya Waziri Mkuu wa DRC yazusha balaa bungeni + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i55820-hotuba_ya_waziri_mkuu_wa_drc_yazusha_balaa_bungeni_sauti
Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bungeni ya kuomba kupasishwa baraza lake la mawaziri ili lianze kufanya kazi, imezua suitafahamu si tu miongoni mwa wapinzani, lakini pia miongoni mwa wabunge wa mseto tawala nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville…
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Sep 05, 2019 16:04 UTC

Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bungeni ya kuomba kupasishwa baraza lake la mawaziri ili lianze kufanya kazi, imezua suitafahamu si tu miongoni mwa wapinzani, lakini pia miongoni mwa wabunge wa mseto tawala nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville…