Hotuba ya Waziri Mkuu wa DRC yazusha balaa bungeni + Sauti
Sep 05, 2019 16:04 UTC
Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bungeni ya kuomba kupasishwa baraza lake la mawaziri ili lianze kufanya kazi, imezua suitafahamu si tu miongoni mwa wapinzani, lakini pia miongoni mwa wabunge wa mseto tawala nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville…
Tags