Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    May 02, 2018 10:25

    Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.

  • Maelfu ya wanawake waandamana DRC kulaani wimbi la mauaji

    Maelfu ya wanawake waandamana DRC kulaani wimbi la mauaji

    Apr 28, 2018 03:10

    Maelfu ya wanawake wamefanya maandamano katika mji wa Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kulishinikiza jeshi la nchi hiyo pamoja na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kukabiliana na wimbi la mauaji yanayofanywa na magenge ya waasi katika eneo hilo.

  • Watu 40 wazama mtoni DRC wakitoroka mapigano

    Watu 40 wazama mtoni DRC wakitoroka mapigano

    Apr 27, 2018 23:26

    Raia wapatao 40 wamezama mtoni baada ya boti zao kukumbwa na dhoruba na kuzama wakati wa kuvuka mto uliokuwa umefurika wakati wakitoroka mapigano kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yagundua makaburi matano ya umati mkoani Ituri Kongo DR

    UN yagundua makaburi matano ya umati mkoani Ituri Kongo DR

    Apr 26, 2018 11:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kugundua makaburi mengine matano ya umati katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • SAUTI, Hatimaye serikali ya Kongo DR yakiruhusu chama kikuu cha upinzani kufanya mkutano

    SAUTI, Hatimaye serikali ya Kongo DR yakiruhusu chama kikuu cha upinzani kufanya mkutano

    Apr 25, 2018 12:45

    Baada ya marufuku ya muda mrefu ya marufuku ya mikutano ya vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hatimaye serikali ya nchi hiyo, imeruhusu chama kikuu cha upinzani UDPS, kufanya mkutano mkubwa jijini Kinshasa.

  • Madaktari Congo DR waanza mgomo wakidai mishahara yao

    Madaktari Congo DR waanza mgomo wakidai mishahara yao

    Apr 24, 2018 12:00

    Madaktari katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza mgomo wakidai mishahara yao iliyocheleweshwa,

  • SADC yajadili mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa Kongo DR

    SADC yajadili mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa Kongo DR

    Apr 23, 2018 03:20

    Viongozi wa Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC wameanza kujadili mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa hivi sasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jumamosi, 21 Aprili, 2018

    Jumamosi, 21 Aprili, 2018

    Apr 21, 2018 06:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 4 Shaaban 1439 Hijria sawa na tarehe 21 Aprili 2018 Miladia.

  • Jumamosi, Aprili 14, 2018

    Jumamosi, Aprili 14, 2018

    Apr 13, 2018 21:54

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Rajab 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Aprili 2018 Milaadia.

  • Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Apr 10, 2018 03:04

    Askari watano na dereva mmoja wameuawa katika Mbuga ya Wanyamapori ya Virunga huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS