-
Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR
May 02, 2018 10:25Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.
-
Maelfu ya wanawake waandamana DRC kulaani wimbi la mauaji
Apr 28, 2018 03:10Maelfu ya wanawake wamefanya maandamano katika mji wa Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kulishinikiza jeshi la nchi hiyo pamoja na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kukabiliana na wimbi la mauaji yanayofanywa na magenge ya waasi katika eneo hilo.
-
Watu 40 wazama mtoni DRC wakitoroka mapigano
Apr 27, 2018 23:26Raia wapatao 40 wamezama mtoni baada ya boti zao kukumbwa na dhoruba na kuzama wakati wa kuvuka mto uliokuwa umefurika wakati wakitoroka mapigano kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN yagundua makaburi matano ya umati mkoani Ituri Kongo DR
Apr 26, 2018 11:22Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kugundua makaburi mengine matano ya umati katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
SAUTI, Hatimaye serikali ya Kongo DR yakiruhusu chama kikuu cha upinzani kufanya mkutano
Apr 25, 2018 12:45Baada ya marufuku ya muda mrefu ya marufuku ya mikutano ya vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hatimaye serikali ya nchi hiyo, imeruhusu chama kikuu cha upinzani UDPS, kufanya mkutano mkubwa jijini Kinshasa.
-
Madaktari Congo DR waanza mgomo wakidai mishahara yao
Apr 24, 2018 12:00Madaktari katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza mgomo wakidai mishahara yao iliyocheleweshwa,
-
SADC yajadili mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa Kongo DR
Apr 23, 2018 03:20Viongozi wa Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC wameanza kujadili mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa hivi sasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jumamosi, 21 Aprili, 2018
Apr 21, 2018 06:37Leo ni Jumamosi tarehe 4 Shaaban 1439 Hijria sawa na tarehe 21 Aprili 2018 Miladia.
-
Jumamosi, Aprili 14, 2018
Apr 13, 2018 21:54Leo ni Jumamosi tarehe 27 Rajab 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Aprili 2018 Milaadia.
-
Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Apr 10, 2018 03:04Askari watano na dereva mmoja wameuawa katika Mbuga ya Wanyamapori ya Virunga huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.