-
Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila mkoani Ituri Kongo
Feb 16, 2018 23:13Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza habari ya kuuliwa makumi ya watu katika mapigano ya kikabila katika mkoa Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu watano wafariki dunia katika ajali ya msafara wa rais wa Kongo DR
Feb 14, 2018 13:14Kwa akali watu watano wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha msafara wa rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
DRC yasema uchaguzi wa Disemba mwaka huu huenda usifanyike
Feb 14, 2018 04:04Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema uchaguzi mkuu uliotazamiwa kufanyika Disemba mwaka huu 2018 hautafanyika bila mashine za kielektroniki.
-
Afrika Kusini yachunguza ukandamizaji wa askari wake DRC
Feb 13, 2018 04:48Jeshi la Afrika Kusini limeanzisha uchunguzi kuhusu madai ya ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN: Mashambulizi dhidi ya wanamgambo DRC yatawalazimisha maelfu ya raia kuyahama makazi yao
Feb 09, 2018 03:40Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, mashambulizi yanayoendelea dhidi ya wanamgambo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huwenda yakawalazimisha raia wapatao 370,000 kuyahama makazi yao.
-
Kongo DR yaiagiza Ubelgiji ifunge ubalozi wake nchini humo na ipunguze safari za ndege
Feb 07, 2018 04:47Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeagiza Ubelgiji ifunge ubalozi wake mdogo ulioko nchini humo sambamba na kupunguza safari za ndege za shirika la Brussels Airlines kueleka katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Watu 30 wauawa katika mapigano ya kikabila Kongo DR
Feb 05, 2018 23:46Watu zaidi ya 30 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea katika mkoa wa Ituri huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Tanzania yamkabidhi kiongozi wa waasi wa Kongo DR kwa serikali ya nchi hiyo
Feb 05, 2018 13:08John Tshibangu, Kanali mwasi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyetishia kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo Joseph Kabila amehamishwa kutoka Tanzania na kukabidhiwa kwa serikali ya DRC ambako atashtakiwa kwa kufanya uasi.
-
Serikali ya DRC yakosolewa kwa kuzuia kurejeshwa nchini humo mwili wa Etienne Tshisekedi kwa ajili ya mazishi
Feb 02, 2018 01:08Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeendelea kukosolewa kutokana na kuzuia kurejeshwa nchini humo kwa ajili yua mazishi mwili wa kiongozi mkongwe wa upinzani Etienne Tshisekedi.
-
UNICEF yataka watoto wa DRC wasaidiwe haraka
Jan 31, 2018 01:01Mjumbe wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (Unicef) huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameyataka mataifa ya dunia kukusanya dola milioni 268 za kudhamini mahitaji ya dharura ya watoto milioni 6 na laki tatu wa nchi hiyo.