Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Mbabe wa kivita wa DRC akabidhiwa kwa serikali ya Kinshasa

    Mbabe wa kivita wa DRC akabidhiwa kwa serikali ya Kinshasa

    Aug 05, 2017 03:36

    Mbabe wa kivita Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kutokana na jinai dhidi ya binadamu alizofanya amekabidhiwa na Umoja wa Mataifa kwa vyombo vya dola vya Kinshasa.

  • Watu zaidi ya 100 watiwa mbaroni Kongo

    Watu zaidi ya 100 watiwa mbaroni Kongo

    Aug 02, 2017 09:55

    Shirika la Msamaha Duniani Amnesty International limeripoti kuwa watu zaidi ya mia moja wametiwa mbaroni katika maandamano ya amani yaliyofanyika juzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupinga hatua ya Rais Joseph Kabila ya kusalia madarakani.

  • Chama cha upinzani Congo chatuhumiwa kushiriki katika mashambulizi ya Kinshasa

    Chama cha upinzani Congo chatuhumiwa kushiriki katika mashambulizi ya Kinshasa

    Jul 31, 2017 22:08

    Msemaji wa Polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, idadi kadhaa ya wajumbe wa chama cha upinzani cha UPDS walikuwa katika kundi la watu waliofanya mashambulizi katika mji mkuu wa nchi hiyo Kinshasa.

  • Jose Maria Aranaz: Kumefanyika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu DRC

    Jose Maria Aranaz: Kumefanyika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu DRC

    Jul 27, 2017 23:18

    Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa, kumeripotiwa kesi nyingi za ukiukaji wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Baraza la Usalama lataka kufanyika uchaguzi wa Rais Kongo

    Baraza la Usalama lataka kufanyika uchaguzi wa Rais Kongo

    Jul 27, 2017 03:05

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ichukue hatua ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika nchini humo hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya wanawaka DRC

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya wanawaka DRC

    Jul 26, 2017 22:52

    Umoja wa Mataifa umesisitiza juu ya udharira wa kukomeshwa vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    Jul 26, 2017 03:15

    Umoja wa Mataifa umelituhumu kwa njia isiyo ya moja kwa moja jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa limehusika na mauaji ya umati katika eneo la Kasai.

  • Upinzani DRC waja na mkakati mpya wa kumshinikiza Rais Kabila aondoke madarakani

    Upinzani DRC waja na mkakati mpya wa kumshinikiza Rais Kabila aondoke madarakani

    Jul 24, 2017 00:10

    Upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umetangaza mipango na mikakati yake mipya ya kushinikiza kuondoka madarakani Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kwa kutumia migomo na uasi wa kiraia.

  • Mamilioni ya fedha za umma za mauzo ya madini zatoweka Congo DR

    Mamilioni ya fedha za umma za mauzo ya madini zatoweka Congo DR

    Jul 23, 2017 02:16

    Jumuiya ya kimataifa ya Global Witness imetangaza kuwa, asilimia 20 ya mapatano yanayotokana na mauzo ya madini ya almasi, dhahabu na shaba zimetoweka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Congo DR

    UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Congo DR

    Jul 22, 2017 22:20

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya misaada ya kibinadamu ametahadharisha kuhusu mgogoro mkubwa unaisumbua Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS