Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • SAUTI: Polisi ya Kongo DR yavamia Chuo Kikuu Kinshasa ili kuwakamata wanafunzi wanaodaiwa kutorosha wafungwa

    SAUTI: Polisi ya Kongo DR yavamia Chuo Kikuu Kinshasa ili kuwakamata wanafunzi wanaodaiwa kutorosha wafungwa

    Jul 22, 2017 12:30

    Polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamevamia Chuo Kikuu cha Kinshasa kwa lengo la kuwatia mbaroni wanafunzi wa chuo hicho mbao wanatajwa kuwa wahusika wa vurugu jijini hapo.

  • Wafanyakazi wa umma DRC waitisha mgomo kutaka nyongeza ya mishahara

    Wafanyakazi wa umma DRC waitisha mgomo kutaka nyongeza ya mishahara

    Jul 21, 2017 09:40

    Wafanyakazi wa sekta ya umma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Ijumaa wameitisha mgomo wakitaka serikali iwaongezee mishahara kutokana na ongezeko la gharama za maisha.

  • Rais Kabila wa DRC na familia yake wana utajiri wa mamilioni ya dola

    Rais Kabila wa DRC na familia yake wana utajiri wa mamilioni ya dola

    Jul 20, 2017 09:44

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na familia yake wanamiliki hisa katika mashirika 80 nchini humo na maeneo mengine ya dunia na utajiri wake unakadiriwa kuwa makumi ya mamilioni ya dola.

  • Jeshi la Congo latakiwa kukomesha mapigano mashariki mwa nchi

    Jeshi la Congo latakiwa kukomesha mapigano mashariki mwa nchi

    Jul 19, 2017 23:36

    Viongozi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelitaka jeshi la nchi hiyo kukomesha mapigano yanayoendelea katika eneo hilo.

  • UN: Kuna uwezekano waasi na vyombo vya usalama viliwaua watumishi wetu

    UN: Kuna uwezekano waasi na vyombo vya usalama viliwaua watumishi wetu

    Jul 19, 2017 09:46

    Kundi moja la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa, kuna uwezekano makundi ya wababe silaha na maafisa wa vyombo vya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walihusika katika mauaji dhidi ya wataalamu wa umoja huo waliokuwa wakichunguza kuhusu makaburi ya umati nchini humo.

  • Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Jul 16, 2017 23:52

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa, eneo la kiistratejia la Kipese lililokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wanaobeba silaha limekombolewa la jeshi la nchi hiyo.

  • Hofu yatanda baada ya maafisa wawili kuuawa katika soko la Kinshasa

    Hofu yatanda baada ya maafisa wawili kuuawa katika soko la Kinshasa

    Jul 16, 2017 02:21

    Hofu imetanda katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa baada ya watu wasiojulikana kuvamia soko kuu mjini humo na kuua maafisa wawili wa ngazi za juu.

  • Makaburi mengine 38 ya umati yagunduliwa Congo DR

    Makaburi mengine 38 ya umati yagunduliwa Congo DR

    Jul 12, 2017 22:06

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, umegundua makaburi mengine 38 ya umati katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UNSC yatahadharisha  kuakhirishwa uchaguzi wa Rais wa Kongo

    UNSC yatahadharisha kuakhirishwa uchaguzi wa Rais wa Kongo

    Jul 12, 2017 02:53

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewatahadharisha viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu kuakhirisha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo na hivyo kuchochea kuendelea machafuko nchini humo.

  • Watu 12 wauawa katika mapigano ya hivi karibuni DRC

    Watu 12 wauawa katika mapigano ya hivi karibuni DRC

    Jul 06, 2017 03:12

    Watu 12 wameripotiwa kuuawa katika mapigano ya hivi karibuni kabisa baina ya waasi na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wenye machafuko wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo kubwa na pana ya katikati mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS