-
Jeshi la Kongo lakomboa baadhi ya maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo
Jul 04, 2017 10:41Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeyakomboa baadhi ya maeneo ya jimbo la Fizi mkoani Kivu ya Kusini mashariki mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa waasi wa Mai-Mai.
-
SAUTI: Kundi jipya la waasi Kongo DR lavamia kambi ya jeshi Kivu Kusini na kuua, kupora silaha na kuichoma moto
Jul 02, 2017 08:08Waasi wapya wa kundi la Muungano wa Taifa kwa ajili ya Kujitegemea (CNPC), nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameshambulia kambi ya jeshi ya mkoa wa Kivu Kusini na kuua askari 12, kupora silaha na kuichoma moto kambi hiyo.
-
Waziri wa Afya: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo haina tena Ebola
Jul 02, 2017 00:02Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza rasmi kumalizika kwa maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.
-
Ijumaa 5 Shawwal 1438 Hijria, sawa na Juni 30, 2017
Jun 29, 2017 21:56Ijumaa tarehe 5 Shawwal 1438 Hijria, sawa na 30 Juni 2017.
-
FAO: Kuna wakimbizi milioni mbili katika mikoa ya Tanganyika na Kasaï Kongo DR
Jun 29, 2017 10:09Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza habari ya kuweko wakimbizi milioni mbili katika mikoa miwili ya Tanganyika, mashariki mwa nchi na Kasaï, katikati mwa taifa hilo.
-
Waasi washambulia maeneo ya jeshi la DRC
Jun 28, 2017 23:43Waasi wanaojiita kwa jina la "Kikosi cha Mapambano ya Wazalendo" wameshambulia maeneo ya jeshi la serikali kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
SAUTI, Makaburi mengine 10 ya halaiki yagunduliwa mkoa wa Kasai Kongo DR, serikali yanyoshewa kidole cha lawama
Jun 27, 2017 11:38Mwanasheria Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pier Numbi ametangaza habari ya kupatikana makaburi mengine 10 ya halaiki katika mkoa wa Kasai nchi humo.
-
Makaburi mengine ya umati yagunduliwa Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Jun 26, 2017 23:25Serikali yai Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa, imegundua zaidi ya makaburi kumi ya umati katika mkoa wa Kasai, mahali ambapo vikosi vya serikali na makundi ya waasi yametuhumiwa kwa kufanya mauaji dhidi ya raia.
-
UN: Kuna haja ya kufanyika mazungumzo ili kumaliza mapigano Kongo DR
Jun 26, 2017 03:19Mshauri wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kuzuia mauaji ya umati, amezitaka pande za mapigano huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufanya mazungumzo ili kukomesha vitendo vya utumiaji mabavu nchini humo.
-
Wabunge wa DRC waitaka serikali kuimarisha usalama nchini mwao
Jun 25, 2017 11:00Wawakilishi kadhaa wa bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kutoka maeneo tofauti ya nchi hiyo, wametaka kuongezwa hatua za kiusalama ndani ya baadhi ya miji hususan ya mashariki.