Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN: Watu milioni moja wamekuwa wakimbizi mkoa wa Kasai, Kongo DR

    UN: Watu milioni moja wamekuwa wakimbizi mkoa wa Kasai, Kongo DR

    Apr 21, 2017 23:14

    Mapigano makali kati ya askari wa serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo wa kundi moja la kikabila katika mkoa wa Kasai yamewalazimisha watu zaidi ya milioni moja kuyaacha makazi yao katika kipindi cha miezi minane iliyopita.

  • UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    UN yagundua makuburi mengine 17 ya umati nchini Kongo DR

    Apr 19, 2017 10:55

    Timu ya wachunguzi ya Umoja wa Mataifa imegundua makaburi mengine 17 ya umati katika mkoa wa Kasai, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wiki mbili baada ya makaburi mengine kugunduliwa katika eneo hilo.

  • Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi

    Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi

    Apr 18, 2017 11:07

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Angola kwenda kuomba hifadhi kutokana na kushtadi machafuko nchini mwao.

  • SAUTI: Uteuzi wa Bruno Tshibala kuwa Waziri Mkuu Kongo DR, waufanya uhusiano wa nchi hiyo na Ubelgiji kuingia doa

    SAUTI: Uteuzi wa Bruno Tshibala kuwa Waziri Mkuu Kongo DR, waufanya uhusiano wa nchi hiyo na Ubelgiji kuingia doa

    Apr 14, 2017 12:53

    Uhusiano kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Ubelgiji, umeingia doa kufuatia masuala ya kisiasa yanayoshuhudiwa ndani ya nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Makumi ya waandamanaji watiwa nguvuni Kongo DR

    Makumi ya waandamanaji watiwa nguvuni Kongo DR

    Apr 12, 2017 02:43

    Makumi ya watu wametiwa mbaroni kwa kushiriki maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wapinzani wapigwa marufuku kufanya maandamano Congo DR

    Wapinzani wapigwa marufuku kufanya maandamano Congo DR

    Apr 10, 2017 03:07

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imepiga marufuku maandamano ya kambi ya upinzani.

  • Makaburi mengine 13 ya umati yapatikana katikati ya DRC

    Makaburi mengine 13 ya umati yapatikana katikati ya DRC

    Apr 03, 2017 22:59

    Mkuu wa ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kugunduliwa makaburi mengine mengi ya umati katikati ya nchi hiyo.

  • Jeshi la DRC lazima shambulizi la waasi wa Mai-Mai

    Jeshi la DRC lazima shambulizi la waasi wa Mai-Mai

    Apr 02, 2017 09:47

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limefanikiwa kuzima shambulizi la waasi wa Mai-Mai katika kijiji kimoja cha mashariki mwa nchi hiyo na kuwalazimisha waasi hao kukimbia.

  • ICC yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanyika Congo DR

    ICC yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanyika Congo DR

    Mar 31, 2017 22:52

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetahadharisha kuwa ukatili uliofanyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiwa ni pamoja na mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa unaweza kutambuliwa kuwa ni jinai ya kivita.

  • Machafuko yashtadi Kongo DR, Angola yafunga mpaka wake na nchi hiyo

    Machafuko yashtadi Kongo DR, Angola yafunga mpaka wake na nchi hiyo

    Mar 31, 2017 10:25

    Serikali ya Angola imeamua kufunga mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na kushtadi machafuko katika mkoa wa Kasai, kusini mwa DRC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS