-
Maafisa wawili wa UN waliotekwa nyara Kongo DR, wameuawa
Mar 29, 2017 09:41Imebainika kuwa, maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa raia wa Marekani na Sweden waliotekwa nyara katika mkoa wa Kasai katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wiki mbili zilizopita wameuawa.
-
Amnesty yataka kikosi cha MONUSCO Kongo DR kiongezewe majukumu
Mar 28, 2017 22:26Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukiongezea majukumu Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO).
-
Polisi 40 wauawa kwa kukatwa vichwa Congo DR
Mar 25, 2017 12:05Ripoti kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimesema kuwa wanamgambo wa eneo la katikati mwa nchi hiyo wamewakata vichwa maafisa karibu 40 wa jeshi la polisi ya nchi hiyo katika maeneo ya msituni.
-
Kwa mara ya kwanza, ICC kuwalipa fidia wahanga wa jinai za kivita Kongo
Mar 24, 2017 12:01Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ( ICC) leo Ijumaa imeamuru kuwa kila mmoja kati ya wahanga 297 wa Germain Katanga, mbabe wa zamani wa kivita wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alipwe fidia ya dola 250 kutokana na mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa kijijini kwao mwaka 2003.
-
ICC yamuongeza Bemba mwaka mmoja jela kwa kuwahonga mashahidi
Mar 22, 2017 11:18Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imemhukumu mwaka mmoja jela, Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba, baada ya kupatikana na hatia ya kuwapa rushwa mashahidi katika kesi kuu ya awali dhidi yake.
-
Video zaidi za mauaji ya raia Congo DR zazusha kizaazaa
Mar 22, 2017 00:12Kutolewa kwa mikanda zaidi ya video za mauaji yaliyofanywa na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo dhidi ya raia wa nchi hiyo kumeingiza kashfa hiyo katika awamu mpya.
-
Waasi wa kundi la FDLR kutoka Rwanda wajisalimisha kwa UN, Congo
Mar 19, 2017 23:32Idadi kadhaa ya waasi wa kundi la FDLR wa Rwanda walioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamejisalimisha kwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waliko mashariki mwa nchi hiyo.
-
Huenda usajili wa wapiga kura DRC ukaakhirishwa, kisa machafuko
Mar 15, 2017 03:34Kanisa Katoliki na Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimetahadharisha kuwa, yumkini zoezi la kuwasajili wapiga kura likakosa kufanyika kutoka na kushtadi machafuko na mapigano nchini humo.
-
Maafisa wawili wa UN watekwa nyara Kongo DR
Mar 14, 2017 03:13Maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa raia wa Marekani na Sweden wametekwa nyara katika mkoa wa Kasai katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kongo yaiomba Guinea Conakry iisaidie kutatua mgogoro wa kisiasa
Mar 13, 2017 10:51Ujumbe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeelekea Guinea Conakry ukitaka kushiriki Rais wa nchi hiyo katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.