-
Wakongomani walio wengi hawataki Katiba ibadilishwe kwa maslahi ya Rais Kabila
Oct 25, 2016 13:09Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanaonyesha kuwa raia wengi wanapinga Katiba ya nchi hiyo kufanyiwa mabadiliko.
-
Mapigano baina ya waasi wa Rwanda na wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Oct 25, 2016 02:28Mapigano makali yameibuka kati ya waasi wa Rwanda na wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika jimbo la Kivu Kaskazini na kupelekea watu kadhaa kuuawa.
-
Ghasia za kisiasa zapamba moto DRC
Oct 24, 2016 00:11Mivutano ya kisiasa imeripotiwa kupamba moto nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Maelfu ya wakimbizi mashariki mwa Congo DR wanahitajia misaada ya kibinadamu
Oct 23, 2016 04:03Maelfu ya wakimbizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanahitajia misaada ya kibinadamu.
-
Viongozi wa Kikristo DRC hawataki kuakhirishwa uchaguzi
Oct 22, 2016 00:59Maaskofu wa Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametofautiana na uamuzi wa hivi karibuni uliofikiwa na chama tawala pamoja na vyama kadhaa vya upinzani, wa kuakhihirisha uchaguzi mkuu kutoka mwezi ujao hadi Aprili mwaka 2018.
-
UN yaeleza matumaini yake kuhusu makubaliano ya kisiasa DRC
Oct 20, 2016 10:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesema ana wingi wa matumaini kuwa makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa Jumanne iliyopita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yatasaidia kuheshimiwa haki za binadamu sambamba na kufanyika uchaguzi wenye itibari katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Aliyekuwa Makamu wa Rais DRC apatikana na hatia ya kuhonga mashahidi
Oct 20, 2016 00:34Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imempata na hatia Jean-Pierre Bemba, Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyekuwa akikabiliwa na tuhuma za kutoa rushwa ili kutatiza mkondo wa ushahidi katika kesi dhidi yake.
-
Taharuki na migomo vyatawala Kongo DR
Oct 19, 2016 12:03Hali ya taharuki imetanda katika miji kadhaa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hususan mji mkuu Kinshasa, huku wafanyakazi wa sekta mbalimbali wakisusia kazi kufuatia wito wa wapinzani wanaopinga makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa jana Jumanne.
-
Umoja wa Mataifa wakubali kuongezwa majukumu ya askari wa kulinda amani nchini Kongo DR
Oct 19, 2016 09:54Umoja wa Mataifa, umekubali kuongezwa majukumu ya askari wa kusimamia amani wa umoja huo mjini Kinshasa, mji mkuu wa taifa hilo.
-
Upinzani DRC: Tutaitisha mgomo wa kitaifa na maandamano mengine
Oct 16, 2016 10:25Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimewataka wafanyakazi wote kushirikia mgomo wa kitaifa na maandamano ya nchi nzima siku ya Jumatano, kumshinikiza Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo aachie ngazi mwishoni mwa muhula wake wa pili unaomalizika mwishoni mwa mwaka huu.