-
Wapinzani Kongo watakiwa kujongea kwenye meza ya mazungumzo ya kitaifa
Oct 15, 2016 09:12Jumuiya ya Ustawi ya Kusini mwa Afrika (SADC) imewatolea wito wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.
-
Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo
Oct 15, 2016 00:28Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imewataka wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
UN: Mustakabali wa kisiasa DRC umegubikwa na kiza
Oct 12, 2016 04:26Mjumbe wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa hali ya kisiasa na kiusalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ipo katika hali nyeti hivi sasa na kwamba huenda machafuko yakashtadi.
-
Kiongozi wa upinzani atiwa nguvuni Kongo DR
Oct 11, 2016 04:37Kiongozi mmoja wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametiwa nguvuni kwa madai ya kuhusika na machafuko yaliyotokana na maandamano ya kupinga serikali yaliyofanyika mwezi uliopita ambapo watu zaidi ya 50 waliuawa.
-
Wapinzani wakusanyika Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa
Oct 10, 2016 10:44Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekusanyika katika mji wa Kisangani nchini humo wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa wanaoipinga serikali.
-
Kongo DR yakosoa vikwazo ilivyowekewa na Marekani
Oct 06, 2016 10:59Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekosoa vikali hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maofisa wa ngazi za juu wa serikali ya Kinshasa, kwa shabaha ya kuathiri mwelekeo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Rais Kabila: Uchaguzi utafanyika mwaka 2018
Oct 06, 2016 01:11Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesisitiza kuwa uchaguzi nchini humo utafanyika mwaka 2018.
-
Wapinzani DRC wakutana Kinshasa kulalamikia kuakhirisha uchaguzi
Oct 05, 2016 04:37Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo jana walifanya mkutano katika mji mkuu wa nchi hiyo Kinshasa na kulalamikia hatua ya Tume ya Uchaguzi ya kuakhirisha zoezi la uchaguzi mkuu uliokuwa ufanyike mwezi ujao wa Novemba.
-
Rais Kabila: Kutokuandikishwa watu milioni 10 ni sababu ya kuakhirishwa uchaguzi Kongo DR
Oct 04, 2016 14:33Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa, kutoandikishwa raia milioni 10 ni sababu iliyopelekea kuakhirishwa uchaguzi wa rais nchini mwake.
-
Serikali ya Kongo DR yaanza kuzilipa fidia familia za wahanga wa ghasia za Kinshasa
Oct 02, 2016 10:35Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanza kuzilipa fidia familia za watu waliouliwa kwenye ghasia za hivi karibuni huko Kinshasa mji mkuu wa nchi hiyo.