-
Tume: Yumkini uchaguzi mkuu usifanyike mwezi ujao DRC
Oct 02, 2016 04:46Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema huenda uchaguzi mkuu usifanyike nchini humo mwezi ujao wa Novemba kama ilivyotarajiwa kutokana na sababu za kilojistiki.
-
Mazungumzo ya kitaifa yaanza tena Congo DR
Oct 01, 2016 10:59Mpatanishi katika mazungumzo ya kitaifa huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametangaza kuwa, mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo yalianza Ijumaa ya jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.
-
UNHCR yataka uchunguzi ufanyike kuhusu machafuko ya Kinshasa
Sep 28, 2016 03:45Umoja wa Mataifa umetaka kufanyike uchunguzi kuhusu ghasia na machafuko yaliyotokea hivi karibuni huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kushadidi ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Sep 27, 2016 10:46Kuendelea maandamano dhidi ya serikali katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Kinshasa kumepelekea watu zaidi kuuawa.
-
Uasi na machafuko katika mji mkuu wa Kongo DR, Kinshasa
Sep 24, 2016 08:15Kuendelea ghasia na machafuko kati ya waandamanaji na askari usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kumeitia wasiwasi jamii ya kimataifa.
-
Ubelgiji yataka ufanyike uchunguzi huru kuhusu machafuko ya Kongo DR
Sep 24, 2016 04:35Serikali ya Ubelgiji imetaka ufanyike uchunguzi huru kuhusu machafuko yaliyotokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa
Sep 24, 2016 01:06Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesusia kushiriki kikao cha mazungumzo ya kitaifa.
-
AU: Tuna wasi wasi na hali ya mambo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Sep 21, 2016 04:31Umoja wa Afrika umeonyesha wasi wasi wake juu ya hali ya mambo yanayojiri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kamisheni ya uchaguzi Kongo DR yawasilisha rasmi pendekezo la kuahirishwa uchaguzi wa rais
Sep 18, 2016 09:47Kamisheni huru ya kitaifa ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetaka kuahirishwa tarehe ya uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR
Sep 18, 2016 02:46Duru za kijeshi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kukombolewa vijiji vinne kaskazini mashariki mwa nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na waasi.