-
Wapinzani wapambana na polisi katika mji wa Lubumbashi
Sep 17, 2016 10:35Duru za kuaminika zimetangaza habari ya kuzuka mapigano baina ya polisi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika mji wa Lubumbashi.
-
Kongo kuunda serikali ya mpito ikisubiri uchaguzi mkuu
Sep 15, 2016 23:32Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo itaunda serikali ya muda itakayowajumuisha wapinzani, ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kuandaa uchaguzi mpya na kutatua mgogoro wa kisiasa uliogubika nchi hiyo.
-
AI: Serikali ya Congo inawakandamiza wapinzani
Sep 15, 2016 12:01Shirika la Msamahama Duniani (Amnesty International) limewatuhumu viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa wanawakandamiza wapinzani.
-
UN yasikitishwa na ukandamizaji wa polisi nchini Kongo
Sep 15, 2016 02:53Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu namna jeshi la polisi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linavyowakamdamiza wapinzani nchini humo.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo
Sep 13, 2016 23:01Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimearifu kuhusu kufukuzwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 huko mashariki kaskazini mwa Kongo.
-
Watu kadhaa wajeruhiwa katika mashambulizi mapya DRC
Sep 11, 2016 00:09Watu wenye silaha wamefanya mashambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kujeruhi watu watatu.
-
Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo
Sep 11, 2016 00:03Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.
-
Mazungumzo ya kitaifa DRC, mijadala isiyo na natija
Sep 08, 2016 07:41Mazungumzo ya kitaifa ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanaendelea kwa ajili ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo katika hali ambayo mivutano ya kisiasa ya ndani, mapigano na ukosefu wa amani kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo bado hayajapungua.
-
Jeshi laua waasi 20 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Sep 08, 2016 09:43Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kuua idadi kadhaa ya waasi mashariki mwa nchi hiyo.
-
Harakati ya Machi 23: Mazungumzo ya kitaifa ya Kongo hayatazaa matunda
Sep 07, 2016 23:15Harakati ya Machi 23 ya nchini Kongo imeeleza kuwa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo hakutasaidia kutatua matatizo yaliyopo.