Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Wapinzani wapambana na polisi katika mji wa Lubumbashi

    Wapinzani wapambana na polisi katika mji wa Lubumbashi

    Sep 17, 2016 10:35

    Duru za kuaminika zimetangaza habari ya kuzuka mapigano baina ya polisi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika mji wa Lubumbashi.

  • Kongo kuunda serikali ya mpito ikisubiri uchaguzi mkuu

    Kongo kuunda serikali ya mpito ikisubiri uchaguzi mkuu

    Sep 15, 2016 23:32

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo itaunda serikali ya muda itakayowajumuisha wapinzani, ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kuandaa uchaguzi mpya na kutatua mgogoro wa kisiasa uliogubika nchi hiyo.

  • AI: Serikali ya Congo inawakandamiza wapinzani

    AI: Serikali ya Congo inawakandamiza wapinzani

    Sep 15, 2016 12:01

    Shirika la Msamahama Duniani (Amnesty International) limewatuhumu viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa wanawakandamiza wapinzani.

  • UN yasikitishwa na ukandamizaji wa polisi nchini Kongo

    UN yasikitishwa na ukandamizaji wa polisi nchini Kongo

    Sep 15, 2016 02:53

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu namna jeshi la polisi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linavyowakamdamiza wapinzani nchini humo.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Sep 13, 2016 23:01

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimearifu kuhusu kufukuzwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 huko mashariki kaskazini mwa Kongo.

  • Watu kadhaa wajeruhiwa katika mashambulizi mapya DRC

    Watu kadhaa wajeruhiwa katika mashambulizi mapya DRC

    Sep 11, 2016 00:09

    Watu wenye silaha wamefanya mashambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kujeruhi watu watatu.

  • Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Sep 11, 2016 00:03

    Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.

  • Mazungumzo ya kitaifa DRC, mijadala isiyo na natija

    Mazungumzo ya kitaifa DRC, mijadala isiyo na natija

    Sep 08, 2016 07:41

    Mazungumzo ya kitaifa ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanaendelea kwa ajili ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo katika hali ambayo mivutano ya kisiasa ya ndani, mapigano na ukosefu wa amani kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo bado hayajapungua.

  • Jeshi laua waasi 20 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jeshi laua waasi 20 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Sep 08, 2016 09:43

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kuua idadi kadhaa ya waasi mashariki mwa nchi hiyo.

  • Harakati ya Machi 23: Mazungumzo ya kitaifa ya Kongo hayatazaa matunda

    Harakati ya Machi 23: Mazungumzo ya kitaifa ya Kongo hayatazaa matunda

    Sep 07, 2016 23:15

    Harakati ya Machi 23 ya nchini Kongo imeeleza kuwa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo hakutasaidia kutatua matatizo yaliyopo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS