-
Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR
Sep 06, 2016 03:16Watu wawili wameuawa kwenye mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi la Kongo katika eneo la Walikale nchini humo.
-
WHO yaonya kuhusu kuenea Kipindupindu kaskazini mwa DRC
Sep 02, 2016 10:32Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuhusu kuenea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu huko Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
-
Waasi wa Mai Mai waua raia wawili mashariki mwa Kongo
Aug 29, 2016 23:30Watu wawili wameuliwa baada ya watu wenye silaha kukishambulia kijiji kimoja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo Riek Machar
Aug 29, 2016 09:46Waziri wa Habari wa Sudan Kusini ameeleza kuwa hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kufanikisha kuondoka Juba Riek Machar Makamu wa zamani wa Rais wa Sudan Kusini ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Makundi mawili ya wanamgambo nchini Kongo DR yaafikiana kurejesha amani
Aug 28, 2016 03:27Makundi mawili ya wanamgambo kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameahidi kusaidia hatua za kurejesha amani nchini humo.
-
Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar
Aug 27, 2016 23:56Serikali ya Sudan Kusini imeilalamikia rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kile ilichokitaja kuwa kushiriki nchi hiyo kumtoa mjini Juba na kumsafirisha Riek Machar hasimu wa kisiasa wa Rais Salva Kiir.
-
WHO latiwa wasiwasi na kuenea Kipindupindu Kongo DR
Aug 25, 2016 03:35Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa indhari juu ya kuenea ugonjwa wa kipindupindu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN: Polisi ya Kongo DR imewatia mbaroni makumi ya waandamanaji Kinshasa, Kongo DR
Aug 24, 2016 23:49Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya waandamanaji wametiwa mbaroni mjini Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mrengo wa upinzani DRC wakataa mazungumzo na serikali ya Rais Joseph Kabila
Aug 21, 2016 10:40Muungano wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umekataa kufanya mazungumzo na serikali ya Rais Joseph Kabila kuhusiana na suala la uchaguzi ambao sasa imetangazwa kuwa, utafanyika Julai mwakani badala ya mwezi Novemba mwaka huu.
-
Makumi ya waasi wa ADF wakamatwa mashariki mwa Kongo
Aug 19, 2016 11:34Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa makumi ya waasi wa Uganda wamekamatwa mashariki mwa Kongo.