Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Wakazi wa Beni watakiwa kushirikiana na jeshi la Kongo

    Wakazi wa Beni watakiwa kushirikiana na jeshi la Kongo

    Aug 18, 2016 09:55

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewataka wakazi wa mji wa Beni nchini humo kushirikiana na jeshi katika mapambano dhidi ya makundi yenye silaha.

  • Waasi wa ADF wafanya tena mashambulio mashariki mwa DRC

    Waasi wa ADF wafanya tena mashambulio mashariki mwa DRC

    Aug 18, 2016 02:46

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wameendelea kufanya mashambulio katika maeneo mbalimbali ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Save the Children: Homa ya manjano DRC kusambaa duniani kote

    Save the Children: Homa ya manjano DRC kusambaa duniani kote

    Aug 16, 2016 10:57

    Shirika la kimataifa la Save the Children limeonya kuwa, mripuko wa homa ya manjano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yumkini ukasambaa katika nchi mbali mbali duniani, iwapo Jamii ya Kimataifa itaendelea kupuuza suala la chanjo ya ugonjwa huo.

  • Jumatatu tarehe 12 Dhilqaada 1437 Hijria sawa na tarehe 15 Agosti 2016

    Jumatatu tarehe 12 Dhilqaada 1437 Hijria sawa na tarehe 15 Agosti 2016

    Aug 15, 2016 03:00

    Miaka 56 iliyopita katika siku kama ya leo mwafaka na tarehe 15 mwezi Agosti mwaka 1960 Jamhuri ya Kongo maarufu kwa jina la Kongo Brazaville ilipata uhuru.

  • Mawakili Kongo DR wakosoa kutiwa nguvuni watoto Lubumbashi

    Mawakili Kongo DR wakosoa kutiwa nguvuni watoto Lubumbashi

    Aug 14, 2016 23:51

    Jumuiya ya Mawakili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekosoa kitendo cha polisi wa nchi hiyo cha kuwatia nguvuni watoto kadhaa katika mji wa Lubumbashi nchini humo.

  • Waasi wa ADF-NALU wa Uganda waua watu 36 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda waua watu 36 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 14, 2016 09:19

    Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika mji wa Beni ulioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua makumi ya watu.

  • Kushadidi hatua za wapinzani wa kisiasa Kongo dhidi ya serikali

    Kushadidi hatua za wapinzani wa kisiasa Kongo dhidi ya serikali

    Aug 13, 2016 22:35

    Hatua za kupinga serikali za wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimepamba moto tangu kurejea nchini mwanasiasa mkongwe ambaye pia ni kiongozi wa upinzani nchini humo mzee Etienne Tshisekedi.

  • Upinzani wa wanasiasa dhidi ya Rais Joseph Kabila waongezeka DRC

    Upinzani wa wanasiasa dhidi ya Rais Joseph Kabila waongezeka DRC

    Aug 12, 2016 22:23

    Hatua za wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kupinga kuendelea kusalia madarakani Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo zimeshtadi sambamba na kurejea nyumbani kiongozi wa upinzani mzee Étienne Tshisekedi.

  • Watu 14 wauawa katika mashambulio ya waasi mashariki mwa Kongo DR

    Watu 14 wauawa katika mashambulio ya waasi mashariki mwa Kongo DR

    Aug 08, 2016 10:13

    Watu 14 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na makundi yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mwa Kongo

    Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mwa Kongo

    Aug 07, 2016 22:27

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, raia zaidi ya elfu 20 katika wilaya ya Tshopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kaskazini mwa nchi hiyo wamekuwa wakimbizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS